King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Umofia kwenu JF,
Sakata la ngada limechukua sura mpya baada ya wasanii wengine kujumlishwa,akichezesha taya mwandishi wetu na mkuu wa kitengo cha ngada amewataja wasanii hao ni Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji na mwingine mnyange wema sepetu chanzo cha kuchunguzwa gazeti la visa limesema kwamba masanja mali zake ni utata mtupu anatumia kivuli cha uchungaji na wema wanasema kuji showoff kwa mponza,msanii wa kwanza kuchunguzwa ni diamond ambaye kuna tetesi kwamba ameshanyang'anywa passport yake.
source: Gazeti la visa
Sakata la ngada limechukua sura mpya baada ya wasanii wengine kujumlishwa,akichezesha taya mwandishi wetu na mkuu wa kitengo cha ngada amewataja wasanii hao ni Emmanuel Mgaya aka Masanja Mkandamizaji na mwingine mnyange wema sepetu chanzo cha kuchunguzwa gazeti la visa limesema kwamba masanja mali zake ni utata mtupu anatumia kivuli cha uchungaji na wema wanasema kuji showoff kwa mponza,msanii wa kwanza kuchunguzwa ni diamond ambaye kuna tetesi kwamba ameshanyang'anywa passport yake.
source: Gazeti la visa
