The Green Village
Senior Member
- Aug 30, 2013
- 170
- 73
dada Heaven on earth, angalia usije tafutwa!!kuna wengine wanaonunua wala sio hao mateja kwa mfano kuna mmoja anaitwa Zungu maeneo ya ITV,mwingine yuko Mwenge karibu na tuition ya Mapambano wao ni ma agent then wao ndo wnawauzia wale mateja wa mwenge na wa kwingineko:majani7::majani7:, na wale wanaishia tu kuharibikiwa mtu anatembea kutoka mwenge hadi tegeta,tegeta to mwenge kuokota makopo akirudi pesa zote zinaenda kwa hao jamaa,wenyewe wanaendelea kula Good life hawa wanasota.........
dada Heaven on earth, angalia usije tafutwa!!
" mzigo wa kilo 3 hauwez kuwa na thaman ya 4bil , ule ulokamatwa juz south afrika ulikuwa kilo 120 thaman yake 6.2 bil iweje kilo tatu uwe na 4bil. Haifiki , just imagine kilo 120 jamam viloba vya unga vingap vinapita kirahisiiii a.port lol
mgahawa wao uko wapi na unaitwaje kama unaridhisha siku nikapate msosi na friends.