The Green Village
Senior Member
- Aug 30, 2013
- 170
- 73
dada Heaven on earth, angalia usije tafutwa!!kuna wengine wanaonunua wala sio hao mateja kwa mfano kuna mmoja anaitwa Zungu maeneo ya ITV,mwingine yuko Mwenge karibu na tuition ya Mapambano wao ni ma agent then wao ndo wnawauzia wale mateja wa mwenge na wa kwingineko:majani7::majani7:, na wale wanaishia tu kuharibikiwa mtu anatembea kutoka mwenge hadi tegeta,tegeta to mwenge kuokota makopo akirudi pesa zote zinaenda kwa hao jamaa,wenyewe wanaendelea kula Good life hawa wanasota.........
Last edited by a moderator: