Sakata la utekaji: Zitto Kabwe na uelewa wako wote na wewe umeingia katika huu mtego?

Sakata la utekaji: Zitto Kabwe na uelewa wako wote na wewe umeingia katika huu mtego?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Binafsi naona yule Bwana anaedaiwa kutekwa huenda atakuwa amegusa wanasiasa na kilichomtokea huenda ni kutekeleza matakwa ya wanasiasa na ndio maana kinachoendelea katika hili sakata kwa sasa ni kama mchezo wa kuigiza kwani hata weledi wa wahusika kulishughulikia umekosokena na sasa ni full comedy.

Bahati mbaya sana naona hata Zitto nae ameshindwa kusoma alama za nyakati na sasa anaanza kujenga imani na RPC kwa tamko lake huku akisema tatizo ni ZPC.

Najiuliza ni kweli RPC anaweza kuongea alichoongea bila ruhusa ya boss wake ambae ni ZPC?

Zitto,ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako huko mtandaoni?

Ziito, ninachokioana kwako ni kuwa humkubali kabisa ZPC, ila usiingie kwenye huu mtego wa kuamini au kutaka kutuonyesha kuwa RPC ni bora kuliko ZPC wakati wote hawa ni watoto wa baba mmoja(jipe muda wa kupima na kutafakari).

Ama kweli siasa ni somo gumu kuliko hesabu mpaka Zitto nae sasa haelewi!!

Anyway,tuache muda utasema.
 
Unaweza ukawa na lengo zuri sana, Lakini uandishi wako ni tatizo kubwa

Unatumia lugha na ufupisho wa maneno mfano RPC au ZPC katikati ya sentensi unapoteza maana

Jaribu kusoma ulichoandika na mtiririko mzima haifai kuwa habari, Ni kama unasimulia story za kijiweni ukijua kila mtu ana taarifa husika
Binafsi naona yule Bwana anaedaiwa kutekwa huenda atakuwa amegusa wanasiasa na kilichomtokea huenda ni kutekeleza maagizo ya wanasiasa na ndio maana kinachoendelea katika hili sakata kwa sasa ni kama mchezo wa kuigiza ndio maana hata weledi wa wahusika kulishughulikia umekosokena na sasa ni full comedy.

Bahati mbaya sana naona hata Zitto nae ameshindwa kusoma alama za nyakati na sasa anaanza kujenga imani na RPC kwa tamko lake huku akisema tatizo ni ZPC.

Najiuliza ni kweli RPC anaweza kuongea alichoongea bila ruhusa ya boss wake ambae ni ZPC?

Zitto,ni wewe au kuna mtu ame-hack akaunti yako huko mtandaoni?

Ziito ninachokioana kwako ni kuwa humkubali kabisa ZPC kama ambavyo hata mimi simkubali, ila usiingie kwenye huu mtego wa kuamini au kutaka kutuonyesha kuwa RPC ni bora kuliko ZPC wakati wote hawa ni watoto wa baba mmoja.

Ama kweli siasa ni somo gumu kuliko hesabu!!!
 
Unaweza ukawa na lengo zuri sana, Lakini uandishi wako ni tatizo kubwa

Unatumia lugha na ufupisho wa maneno mfano RPC au ZPC katikati ya sentensi unapoteza maana

Jaribu kusoma ulichoandika na mtiririko mzima haifai kuwa habari, Ni kama unasimulia story za kijiweni ukijua kila mtu ana taarifa husika
Ninajua ninachokifanya usidhani nimekurupuka tu kuandika hivyo.
 
Mtego Gani ambao sisi hatuujui,mnafanya mambo ya kipumbavu kutekateka watu hovyo hovyo,Kama huyo mtu ana makosa mpelekeni mahakamani mnakaa naye ili iweje.
 
Mtego Gani ambao sisi hatuujui,mnafanya mambo ya kipumbavu kutekateka watu hovyo hovyo,Kama huyo mtu ana makosa mpelekeni mahakamani mnakaa naye ili iweje.
Read between lines!!
 
Back
Top Bottom