Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Hiyo hapo chini alipost kwenye account yake ya insta June 2021, kuelezea jinsi gani mwezi May 2021 really tested her mental health, as she had just got back from a trip where she was robbed & assaulted. Ingawa hakuweza kuelezea in details kama alivyofanya sasa, sababu hakua sawa mentally & psychologically, na hilo linaeleweka. Mnaosema target ni royal tour vipi ilikuepo kipindi hicho? Kuwa mzalendo haina maana ufumbie macho mpaka upuuzi unaofanyika nchini.

"It’s high time I told my horrible experience in Zanzibar as a young solo female traveler.

This incident happened a year ago in April of 2021 but I haven’t been able to talk about it cause I’ve been in therapy for a year to heal from the psychological trauma"
Kipi kisichoeleweka hapo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Your very young and naive. You dont get the point.. why alalamike mitandaoni? Huko kwako hakuna vyombo vya sheria? Hakuna ubalozi wa Tanzania huko Nigeria..alienda kutoa malalamiko yake? We leo hii ukibakwa utapost instagram au utaenda kwenye vyombo vya sheria???
 
Vita ya biashara

Wakenya ni wazuri sana wa fitna

She has to prove everything au ipigwe kesi against her

Tukiacha hizi drama mambo yatazidi
Lakini umesoma tweets zake uko twitter na clips alizoziweka?

Instagram Account ya hiyo hotel imeblock hasiweze kuendelea kutoa lawama, sababu ya kublock ni nini?

Kama ni uongo si wangejibu alafu wamchukulie hatua za kisheria, kwa kublock watu wasitoe mawazo yao kunaonyesha kuna tatizo kwenye hiyo hoteli.




 
Nimeiona pia hiyo tweet tangu mwanzo wake hadi retweet nyingi tu zinazotia aibu. Kila anayetoa comment anawatahadhalisha wengine kuwa Tanzania sio salama, tusijifiche kwenye kuhujumiwa na jirani ila tushughulike na wahalifu kama hiyo hoteli mazima.
 
Acha us*nge, labda nikubake wewe pengine utaelewa aliyopitia huyo dada. Iwe kalalamika mtandaoni au kwenye ma**ko yako lengo lake limetimia, dawa ishaingia mahala pake, na bila shaka hatua stahiki zitachukuliwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejaribu kusoma ile thread ya muhusika kule twitter nimebaki na maswali mengi sana,kwanini aseme kipindi hiki?
Alikuwa anajitibia madhara ya kisaikolojia yaliyomkuta. Soma Tena utauona huo mstari. Na usimhukumu Kwa kuchukua muda mrefu kuandika kilichomkuta kwani kutibu post traumatic disorder huchukua muda pia.
 
Huyo Mnaigeria amekaa kimya mwaka mzima hadi Rais SAMIA anazindua ROYAL TOUR ndiyo anaibuka? Hivi ni mimi tu kuna wengine wanaona giza kuhusu hii story? Why now? Halafu binti wa miaka 23 anatoka Nigeria kusheherekea birthday yake peke yake? Au alikuwa ameleta mzigo wakapishana na mwenyeji wake?
 
We Ni mjinga sana tena sana.

Ameweka video footage akiwa bongo Kituo Cha polisi akifokewa bila msaada!

Alipiga simu ubalozi wa Nigeria hakupewa msaada!

Halafu huwezi kumpangia mtu wapi alalamike

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
We Ni mjinga sana tena sana.

Ameweka video footage akiwa bongo Kituo Cha polisi akifokewa bila msaada!

Alipiga simu ubalozi wa Nigeria hakupewa msaada!

Halafu huwezi kumpangia mtu wapi alalamike

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
Asante kwa tusi lako.
Video nimeziangalia zote tena kwa umakini sana. Aliyekuwa anafoka ni yeye au ni polisi?
Yeye ndiye aliyekuwa anashout. Walichokuwa wanamwambia ni kuwa hairuhusiwi kuchukua video ndani ya kituo cha polisi yeye anakaidi na kupiga kelele. Maelezo alichukuliwa na hospital alipelelekwa kupimwa ambapo ilibainika kuwa hakuingiliwa. Hapo wewe kama polisi unaendeleaje na hiyo kesi?? Ushaidi mwingine uko wapi?? Hotel haina CCTV camera. Imagine ww ni polisi una proceed vipi? Msiwe biased na wala msisikilize upande mmoja.
Ishu ya kupiga simu ubalozini na kukosa msaada ametoa evidence gani??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…