Mshuza2
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 11,261
- 17,202
Ni kweli.Alikuwa anajitibia madhara ya kisaikolojia yaliyomkuta. Soma Tena utauona huo mstari. Na usimhukumu Kwa kuchukua muda mrefu kuandika kilichomkuta kwani kutibu post traumatic disorder huchukua muda pia.