Ni kweli.Alikuwa anajitibia madhara ya kisaikolojia yaliyomkuta. Soma Tena utauona huo mstari. Na usimhukumu Kwa kuchukua muda mrefu kuandika kilichomkuta kwani kutibu post traumatic disorder huchukua muda pia.
Natamani nione hao polisi wakimtoa baru.Mzee Dada ana clip na picha kibao
Polisccm wanamfukuza
Hawa polisi wetu wapumbavu sana aisee
Kwani mtu akitaka kubakwa na akajitetea hatakiwi kutoa taarifa polisi?Asante kwa tusi lako.
Video nimeziangalia zote tena kwa umakini sana. Aliyekuwa anafoka ni yeye au ni polisi?
Yeye ndiye aliyekuwa anashout. Walichokuwa wanamwambia ni kuwa hairuhusiwi kuchukua video ndani ya kituo cha polisi yeye anakaidi na kupiga kelele. Maelezo alichukuliwa na hospital alipelelekwa kupimwa ambapo ilibainika kuwa hakuingiliwa. Hapo wewe kama polisi unaendeleaje na hiyo kesi?? Ushaidi mwingine uko wapi?? Hotel haina CCTV camera. Imagine ww ni polisi una proceed vipi? Msiwe biased na wala msisikilize upande mmoja.
Ishu ya kupiga simu ubalozini na kukosa msaada ametoa evidence gani??
Itokee 2021 leo ndio useme, sasa hata uchunguzi utafanyika kwa shida sana
ujinga mtupu alikuwa wapi kusema au sababu ameona mama anazindua royal tour anataka kuharibu tatizo wa Tz tunakosa uzalendo tunafuta upepo tu kila kitu
ww nawe unashindwa kutumia akili yako vizuri kwa hiyo Tanzania ikichafuka ww utafurahi
Alitoa taarifa polisi na polisi walifanya kazi yao walimchukua meelezo na kisha baadae wakampeleka hospital kumpima ambapo majibu yalitoka kuwa hakuingiliwa kimwili. Sasa polisi hapo wafanyeje? Walazimishe kuwa kabakwa? Mgogoro kati yake na polisi ni pale tu polisi walipomwambia hairuhusiwi kisheria kupiga picha au video kituo cha polisi ndo mdada wa watu akaanza kushout na kutoka nje akipiga picha na video bango la kituo cha polis nungwiKwani mtu akitaka kubakwa na akajitetea hatakiwi kutoa taarifa polisi?
Nadhani polisi wanalalamikiwa kutokana na mrejesho wao
Tulipaswa kuwashughulikia wenye hotel, wangemtoa mtuhumiwa wao, Kwa polisi, na kumtaka radhi huyo dada, hayo yote yasingetokea. Majuto ni mjukuu siku zote!Nimeiona pia hiyo tweet tangu mwanzo wake hadi retweet nyingi tu zinazotia aibu. Kila anayetoa comment anawatahadhalisha wengine kuwa Tanzania sio salama, tusijifiche kwenye kuhujumiwa na jirani ila tushughulike na wahalifu kama hiyo hoteli mazima.
mpumbavu huyoFuraha yako wanawake waendelee kubakwa sio? Una tabia za kubaka?
Alitoa taarifa polisi na polisi walifanya kazi yao walimchukua meelezo na kisha baadae wakampeleka hospital kumpima ambapo majibu yalitoka kuwa hakuingiliwa kimwili. Sasa polisi hapo wafanyeje? Walazimishe kuwa kabakwa? Mgogoro kati yake na polisi ni pale tu polisi walipomwambia hairuhusiwi kisheria kupiga picha au video kituo cha polisi ndo mdada wa watu akaanza kushout na kutoka nje akipiga picha na video bango la kituo cha polis nungwi
[emoji1787][emoji1787]Afu wakenya wamefurahia kinoma sanaa maana wanatupondea sana kwenye comments za stor ya yule dada
Hamna anayemtetea mtu hapa. Hatubishani. Tunaelimishana. Je umeuona utetezi wa wenye hiyo hotel???Kwa hiyo kwa sababu hakubakwa so kunakuwa hamna kesi?
Vipi kuhusu aliyetaka kumbaka?
Vipi kuhusu fedha zake?
4 star hotel inakosa Cctv?
Tuache kutetea upumbavu.
Akwende zake huko mbona ulaya kila siku watu wanafanyiwa vitendo vya kikatili +mauaji na bado tunapambana kwenda huko
yee kubakwa kidogo tu ndo watalii wasije never[emoji35]
Sijasema ni uongo au ukweliLakini umesoma tweets zake uko twitter na clips alizoziweka?
Instagram Account ya hiyo hotel imeblock hasiweze kuendelea kutoa lawama, sababu ya kublock ni nini?
Kama ni uongo si wangejibu alafu wamchukulie hatua za kisheria, kwa kublock watu wasitoe mawazo yao kunaonyesha kuna tatizo kwenye hiyo hoteli.
View attachment 2190501
View attachment 2190502
Tatizo jinaNughu wewe
Hii inajiita 4.5* ilipataje hii hadhi!? Inatia DOA sanaKwa hiyo kwa sababu hakubakwa so kunakuwa hamna kesi?
Vipi kuhusu aliyetaka kumbaka?
Vipi kuhusu fedha zake?
4 star hotel inakosa Cctv?
Tuache kutetea upumbavu.