Sakata la Warere Beach hotel kwa mtalii mgeni, Serikali ichunguze, wahusika wachukuliwe hatua, wametia doa sekta ya utalii nchini

Wala ata sio polisi ni wabongo wote 'utakavokuja ndivyo utakavyopokelewa.
Mi naona sawa tuu
 

Nani ni mkweli?

Kwanini hao watu wa Hotel wasilete facts zao mezani?

Footage n.k.?
 
Ilikua Ni April alifanyiwa huo unyama.Inawezekana kwa sababu Leo Ni siku ya bday yake tukio likamjia akaamua kuliweka wazi ili kupata unafuu .Ko ndiyo connection
 

Hakwenda kwenye vyombo vya sheria hapa nchini?

Mlimsaidia.

Alipiga simu kwenye ubalozi wao walinsaidia?

Acha afanye kile anajisikia and yupo sawa tu.
 
Mzee Dada ana clip na picha kibao

Polisccm wanamfukuza

Hawa polisi wetu wapumbavu sana aisee
Na hii nchi imlinde huyu mtu akifa litakuwa tatizo lingine [emoji3064][emoji3064][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bongo nyoso
 
Kwa nini police hawakumsikiliza wakaanza kufokeane naye?
 

Yaani badili tu hiyo ID jamaa.

Hiki ulichoandika hapa ni upumbavu wa hali ya juu.
 
Leta hzo tweets tusome na sisi, vinginevyo itakuwa ni majungu tu. Kitu kitokee 2021 na aje kuibuka leo?
Ndugu yangu watu wanafanyiwa mambo mazito sana humu inchini. Ukiachana na hilo wageni wengi wanadhurumia sana. Kuna badhi ya watu wanaochafua image ya hii nchi RAS SIMBA akiwa moja wao. Soon notaleta uzi wa jinsi huyu jamaa anatapeli wageni
 
Hii inajiita 4.5* ilipataje hii hadhi!? Inatia DOA sana

Guest zetu bongo za kulia short time, korido zina kamera!
Yes Logde nyingi tunaingia humu mitaani zina camera na ni za bei za kawaida.

Bora hata wameshushwa to one star.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…