Baada ya kuona observation yako nimejikuta naungana nawe ...jambo limezua jambo! Bango limekaa pazuri! And more power is being used...Nimeipenda hii picha, wazee walivyokaa walipatia sana maaana kuna Bango hapo Nyuma nadhani ni la DHL linasema MORE POWER na Kuna Polisi na kalandinga lao, Nadhani hii picha inahabari zaidi ya habari
Leo tumejionea mengi kwa kweli...Kandoro, Kova na Kimbisa wakiongoza magari. Tusubiri tamko la serikali kuhusiana na hali hii...hasa hasa Rais Kikwete atakapoongea na taifa mwisho wa mwezi kama ilivyo ada.
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
Hali inasikitisha...
sijajua nia na madhumuni ya Serikali kufanyas hivi ni nini. Danadana zimekuwa nyingi sana katika Suala la EAC.
Utawala wa Awamu ya nne unatawaliwa na Migomo, maandamano na Usanii mwingi. Najaribu fikiria ni nani atakuwa Mgombea upande wa CCM mwaka 2010.
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
kama ni kutokuwa na mtandao then hilo sii ttz kama anafaa achukue form mean while wabunge wa upinzani na wale wa ccm wanaoitakia mema TZ wakazane mpaka mgombea binafsi ipite.....JOHN POMBE MAGUFULI for CCM Presidential candidate in 2010!!! Huyu atatufaa sana! Tatizo lake hana mtandao wa mafisadi wa kum-back up!!!
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
Nasikia baada ya kuondolewa pale darajani, sasa wamevamia central Police. kazi yaendelea
Wana JF...
Wazee wetu wamekuwa wakitamka kwamba, Wazee wenzao wa Kenya na Uganda walokuwa wakifanya kazi kwenye "EAC" walikwishalipwa mafao yao. Ningependa kujua kama kuna mjumbe yoyote anayeweza kupata usahihi wa taarifa hii...
Mwalimu gani? kama ni marehemu Julius, huyu babu mwacheni tu apumzike, kwani inaboa sasa hii tabia ya kila kitu mwalimu, mwalimu.....ukweli ni kwamba EAC ilivunjika mwaka 1977, yeye Mwalimu ibn Mtukufu, a.k.a messiah, a.k.a the saint akiwa rais, wakti anang'atuka ilikuwa ni takribani miaka nane toka hii kitu i-collapse!! swali, alikuwa wapi kuwalipa hawa waungwana mafao yao? Leo hii ni miaka 31 toka kuanguka kwa EAC...awamu zote nne za serikali nchini Tanzania zimepitia hili tatizo, lakini all of a sudden lawama zooooooooote kwa huyu kikwete na serikali yake ya kifisadi, wakti tunajua kuwa tatizo hili kalirithi toka kwa Mkapa, Mkapa toka kwa Mwinyi na Mwinyi toka kwa Nyerere.......
Badala ya kutoa lawama kwa serikali kwa staili hii ya chuki na kutafuta visababu, tuanze kutoa mawazo sahihi ya jinsi gani ya kutatua matatizo ya namna hii badala ya finger pointing wakti fwacts zipo wazi....pesa za hawa wazee zilishatoka na kuliwa kabla Kikwete hajawa POTURT!!!.
Hili tatizo si jipya, mnyonge mnyongeni lakini kuweni wa kweli.......njooni na mawazo na jinsi mbadala za kupata fweza za kuwalipa hawa wazee, badala ya makelele na ku-politik huu "mshipa" ulioachwa na Nyerere!
asubuhi njema....
kama ni kutokuwa na mtandao then hilo sii ttz kama anafaa achukue form mean while wabunge wa upinzani na wale wa ccm wanaoitakia mema TZ wakazane mpaka mgombea binafsi ipite.....
Mgombea binafsi si alisharuhusiwa na Mahakama Kuu baada ya Mtikila kushinda kesi hiyo?
Kabisa naungana nawe, wananchi tukubali kuwa hii serikali haitufai. Hatuna budi kuiweka kando.it means presdent kikwete is not aware of what is going on au ameamua tu kuwa kimya huku wazee wetu wakiendelea kuteseka kwa kudai mafao yao?ifike mahali watanzania tuamue kwa pamoja kuwa 2010 kikwete na serikali ya kifisadi isirudi madarakani maana sasa tumechoka na mogomo maandamano kila kukicha. KIWETE should be one term president.
Mie nafikiri uraisi ni taasisi na ukikaa pale uyapokee yote unayoyakuta yakiwemo mazuri na mabaya.
Hukuona walioshauri wakitaja fungu la fweza ya EPA?
Jingine, RAISI akirithi tatizo ana haki ya kuliweka kapuni? Usianze ku-twist mambo hapa! KATIBA inasemaje kuhusu majukumu na wajibu wa RAISI?
.
nimejaribu kupata baadhi ya picha japo kwa kamera yangu sio nzuri ila itawapa picha wanajamii. jamani huku sio iraki ni posili walivyo kuwa wanawazitibu
Hukuona walioshauri wakitaja fungu la fweza ya EPA?
Jingine, RAISI akirithi tatizo ana haki ya kuliweka kapuni? Usianze ku-twist mambo hapa! KATIBA inasemaje kuhusu majukumu na wajibu wa RAISI?
.
Nadhani kama ni kurithi inabidi tuanze na Mzee Mwinyi afuate Mkapa ndo JK ashambuliwe!!
Kwa sasa nadhani kinachotakiwa ni busara zaidi kuliko kutumia matukio kama haya kujitafutia sifa na kufanya ile inaitwa blame game!!
Lets face it serikali ya CCM ndo inatakiwa iwajibike from the roots....how could they ignore such an important thing for our wazee!!!?