Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Nasikia baada ya kuondolewa pale darajani, sasa wamevamia central Police. kazi yaendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka kieleweke!
.
Nasikia baada ya kuondolewa pale darajani, sasa wamevamia central Police. kazi yaendelea
Mpaka kieleweke... au sio Lazydawg(dog)
Wengine huwa hawaendi kwenye migomo kwa sababu strategies zitumiwazo hazijatulia, cheki mavitu ya wazee. Huyo strategist wao bab-kubwa!
.
Nilikuwa siamini kama JK anaweza kuwa raisi wa kipindi kimoja!!! Hizi laana za wazee zitamweka pabaya, jamaa amekalia kuti kavu....na serikali yao. Cha muhimu ni kuugana na hawa watu waliokata tamaa na sisi tunapigana nyuma ya PC zetu, udhalimu wa sisiem unaelekea mwisho!
Ushi
Leo tumejionea mengi kwa kweli...Kandoro, Kova na Kimbisa wakiongoza magari. Tusubiri tamko la serikali kuhusiana na hali hii...hasa hasa Rais Kikwete atakapoongea na taifa mwisho wa mwezi kama ilivyo ada.
Sina ndugu huko but I feel like I should join them!
![]()
Picha na Father Kidevu.
Ok.. somebody explain this (Picha)
.
Sitashangaa hawa wazee wakifikia hatua ya kugoma kula. Hiyo itakuwa funga kazi
.
pics za wazee hizo ...
.![]()
![]()
Kikwete alidai fedha za epa hazina mwenyewe. basi akate fungu hapo awalipe wazee wetu. Hii ni shame kabisa. Watoto wa shule wamegoma, wakafuata walimu wao, watu wa benki na sasa wazee wanazua janga... hii inanikumbushe hadithi ya yule mfalme mjinga ambaye alifuga paka... paka akaanza kula kuku, wakamfuata wakamwambia akajibu... paka wangu kuku wangu, asichukue hatua. akala bata, asichukue hatua.. paka akazidi kuwa mkubwa, akaanza kula mbuzi... akasema mbuzi wangu, paka wangu... akala mbwa, ng'ombe jamaa hachukui hatua. mwisho akaanza kula binadamu... wakamwambia mkuu, paka wako anakula watu.. kwanini tusimwue? akajibu watu wangu, paka wangu... paka akawa nunda kwelikweli... akaendelea kutafuna watu... akalamba mtoto wa mfalme... wakamwambia paka kala mwanao... asishtuke akajibu paka wangu, mtoto wangu...watu wakaisha... akabaki uso kwa uso na Paka.
haya yatatokea hapa Tanzania.