Sakata la Zari na makalio bandia

Sakata la Zari na makalio bandia

Status
Not open for further replies.
Rational decision making behaviour..
Binadam tumeumbwa na tunaishi katika mazingira yenye options nyingi sana zenye fursa nyingi.. tofauti kati ya masikini na tajiri ni namna ya kuchagua na kuzitumia hizo fursa..
Tanzania ni kati ya nchi masikini duniani kwa sababu nguvu kazi yake inawekeza muda na nguvu nyingi sana katika vitu visivyo na tija..
Kwa uzi wako huu sina hakika sana kam umepata hata shilingi 100 zaidi ya kufurahia tu wingi wa comment za wadau.. unajua kitendo chako cha kuandika uzi huu ambacho hakijakupa faida wewe kimewapaje wengine faida..
Vocha..... faida mtandao wa simu
J.f usage..... watu wengi wameingia kucomment umu hivyo pato linaingia kwa mmiliki wa j.f
Chanzo cha habari.. kupitia vipicha vyako hivi watu kibao wamevitumia kwenye bloggs zao na magazeti yao ya udaku
Airtime coverage... kuna watu kibao walikua hawajui hii ofer ya voda so umewatangazia biashara hapa.. pia hata hii ishu ya mondi umemtangaza pia na kumpa umaarufu wa bure..
Next time usiache fursa hizi ziende bure.. zitumie kwa faida
 
Rational decision making behaviour..
Binadam tumeumbwa na tunaishi katika mazingira yenye options nyingi sana zenye fursa nyingi.. tofauti kati ya masikini na tajiri ni namna ya kuchagua na kuzitumia hizo fursa..
Tanzania ni kati ya nchi masikini duniani kwa sababu nguvu kazi yake inawekeza muda na nguvu nyingi sana katika vitu visivyo na tija..
Kwa uzi wako huu sina hakika sana kam umepata hata shilingi 100 zaidi ya kufurahia tu wingi wa comment za wadau.. unajua kitendo chako cha kuandika uzi huu ambacho hakijakupa faida wewe kimewapaje wengine faida..
Vocha..... faida mtandao wa simu
J.f usage..... watu wengi wameingia kucomment umu hivyo pato linaingia kwa mmiliki wa j.f
Chanzo cha habari.. kupitia vipicha vyako hivi watu kibao wamevitumia kwenye bloggs zao na magazeti yao ya udaku
Airtime coverage... kuna watu kibao walikua hawajui hii ofer ya voda so umewatangazia biashara hapa.. pia hata hii ishu ya mondi umemtangaza pia na kumpa umaarufu wa bure..
Next time usiache fursa hizi ziende bure.. zitumie kwa faida
Hebu nyie mnaojiita mambea someni hii post hapa.. naimani hamtaondoka bure na mtajifunza kitu hapa
 
Bado awajanishawishi kuwaamini, au na hii miguu bandia?
 

Attachments

  • images (5).jpg
    images (5).jpg
    9 KB · Views: 39
  • images (3).jpg
    images (3).jpg
    9.4 KB · Views: 66
  • images (2).jpg
    images (2).jpg
    8.2 KB · Views: 42
  • images (4).jpg
    images (4).jpg
    10.1 KB · Views: 40
Nifan kumbe nawe ni mtoto wa uswahilini?mimi nilijua get kali kama mimi.


swissme
Huu ni ushamba wa miaka ya 47 kuringia mambo ya geti kali.
Mbona hata mimi naishi kwenye geti kali? (If that's the case)
Hapa ni umbea tu,mambo ya geti kali tupa kule.
 
Huu ni ushamba wa miaka ya 47 kuringia mambo ya geti kali.
Mbona hata mimi naishi kwenye geti kali? (If that's the case)
Hapa ni umbea tu,mambo ya geti kali tupa kule.
hahahahaha Msukuma.

swissme
 
Ni aibu kumjadili mwanamke mwenzio makalio nibora ungeleta uzi wa kujadili mafanikio yake ili nasi tuige tuwe Kama yeye au tumzidi kimaendeleo ,jamani tubadilike wadada
Wewe hebu leta huo uzi wa mafanikio yake tujadili,kwani umekatazwa?
Hili ni jukwaa la celebrities nikukumbushe tu maana naona umekuja na stress zako,Nick Minaj anajadiliwa makalio yake ijekuwa Zari?
 
Rational decision making behaviour..
Binadam tumeumbwa na tunaishi katika mazingira yenye options nyingi sana zenye fursa nyingi.. tofauti kati ya masikini na tajiri ni namna ya kuchagua na kuzitumia hizo fursa..
Tanzania ni kati ya nchi masikini duniani kwa sababu nguvu kazi yake inawekeza muda na nguvu nyingi sana katika vitu visivyo na tija..
Kwa uzi wako huu sina hakika sana kam umepata hata shilingi 100 zaidi ya kufurahia tu wingi wa comment za wadau.. unajua kitendo chako cha kuandika uzi huu ambacho hakijakupa faida wewe kimewapaje wengine faida..
Vocha..... faida mtandao wa simu
J.f usage..... watu wengi wameingia kucomment umu hivyo pato linaingia kwa mmiliki wa j.f
Chanzo cha habari.. kupitia vipicha vyako hivi watu kibao wamevitumia kwenye bloggs zao na magazeti yao ya udaku
Airtime coverage... kuna watu kibao walikua hawajui hii ofer ya voda so umewatangazia biashara hapa.. pia hata hii ishu ya mondi umemtangaza pia na kumpa umaarufu wa bure..
Next time usiache fursa hizi ziende bure.. zitumie kwa faida
Huu ushauri wako ungeupeleka kwenye jukwaa la Wajasiriamali ningekuona wa maana sana.
Kwahiyo tusilete habari za mastaa humu?
Wewe hujawahi kuona post za watu huko Siasani na jukwaa la habari na hoja mchanganyiko zikitoka kwenye blogs na magazeti mbalimbali?
Kwa maana hiyo unataka watu wote wasipost habari humu JF kisa tu watafaidika wengine?
Huu ni UCHOYO NA UBINAFSI!

Maisha ni kutegemeana,nafurahi kusikia kama kuna watu waliofaidika na habari yangu hii ya Udaku.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom