Waziri wa madini
JF-Expert Member
- Jun 12, 2019
- 379
- 466
Hakika kwa Sasa mchezaji ni mmoja tu naye ni Pape Sakho.
Mchezaji mwenye kipaji Cha hali ya juu,mwenye ufundi ,mwenye kujitumia ,mwenye spidi ya ajabu ,Hakika Simba sports club imapata mbadala wa konde boy.
Kama ilivyokawaida yetu wadau wa soka Leo tumebatiza jina jipya fundi huyu wa mpira nakuanzia leo ataitwa Profesa sakho(turbo machine).
Mchezaji mwenye kipaji Cha hali ya juu,mwenye ufundi ,mwenye kujitumia ,mwenye spidi ya ajabu ,Hakika Simba sports club imapata mbadala wa konde boy.
Kama ilivyokawaida yetu wadau wa soka Leo tumebatiza jina jipya fundi huyu wa mpira nakuanzia leo ataitwa Profesa sakho(turbo machine).