Sakho wa Simba SC tumeshajua Sakho Kauzwa wapi, mbona Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata 'K na Mjichubuaji' hatuambiwi wameenda wapi?

Sakho wa Simba SC tumeshajua Sakho Kauzwa wapi, mbona Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata 'K na Mjichubuaji' hatuambiwi wameenda wapi?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Simba SC bado wanaendelea Kuonyesha jinsi gani wanaelekea pazuri kuwa Klabu yenye Uweledi.

Tayari Mchezaji Sakho wa Simba SC tumeshajua Kauzwa wapi ila kwanini Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata K na Mjichubuaji si tu hawaonekani bali hata hatutangaziwi Hatima zao wakati Wafuatiliaji wa Masuala ya Michezo ( hasa huu wa Tanzania ) tunajua kuwa Wameshauzwa na nyie mliokuwa nao hamjapata chochote kwakuwa mlipewa kwa Mkopo na pia Waliwagomea Klabuni Kwenu kutokana na Kudai Fedha zao na Mishahara.
 
37d302e4-b029-43aa-ae63-afeccf854315.jpg
 
Simba SC bado wanaendelea Kuonyesha jinsi gani wanaelekea pazuri kuwa Klabu yenye Uweledi.

Tayari Mchezaji Sakho wa Simba SC tumeshajua Kauzwa wapi ila kwanini Mtikisa Manyonyo, Mvaa Bukta Kata K na Mjichubuaji si tu hawaonekani bali hata hatutangaziwi Hatima zao wakati Wafuatiliaji wa Masuala ya Michezo ( hasa huu wa Tanzania ) tunajua kuwa Wameshauzwa na nyie mliokuwa nao hamjapata chochote kwakuwa mlipewa kwa Mkopo na pia Waliwagomea Klabuni Kwenu kutokana na Kudai Fedha zao na Mishahara.
Wanaona aibu kusema ukweli kuwa siyo wao waliomuuza.
 
Mayele kaenda pyramid fc ya misri bangala kaenda south afrika na shaban djuma kaenda tp mazembe subir taarifa ikufikie ss tumo ndani ya uongoz tunakupa iyo siri ss
 
Back
Top Bottom