Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 855
hii ni demotion na Sakina hili analijua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
GT: Kwa muda mrefu Mengi amekuwa akiajiri Wahindi katika vitengo vya fedha
kwa hiyo hiyo unasema ya "list ya bosi wake" haipo, ni hisia/uzushi wako tu.
halafu nasikia mshahara wa mama huyu ni mkubwa zaidi ya 10m/- pm -- hakuna Mswahili aliyewahi kulipwa mshahara huo katika editorial dept. Naamini ktk cheo chake kipya hatapunguziwa mshahara huo kwa hivyo ajiuzulu kwa sababu gani?
sijaona uhusiano wa hijab na maelezo yako....ikaaje tena?
hiyo ndio hali halisi...mle ndani alifika point hata kazi hawezi kufanya vizuri kwani kila mmoja anajaribu ku accommodate ili asionekane ni racist lakini ukweli ni kuwa imani ilishakwisha yeye kama alivyosema jamaa hapo juu alitumiwa lakini end product ilipotoka mambo ndio ndio hayo mnayoyaona