SAKINA DATOO apewa Uhariri Mkuu This Day na Kulikoni

Status
Not open for further replies.

pitia tena sources zako
 
sijaona uhusiano wa hijab na maelezo yako....
 
Baada ya kuongea na Sakina kwa simu nimeelezwa haya:

Hajaachishwa kazi...

Aliajiliwa kwa ajili ya kazi maalum ambayo ndo wakati wake umefika. Kazi hiyo ni kuhariri "ThisDay On Sunday" na kazi aliyokuwa akifanya ilikuwa ni ya muda tu wakati mchakato wa uanzishwaji wa gazeti hilo jipya ukiendelea.

Inasikitisha, tusiigeuze JF kuwa sehemu ya kumalizia hasira zetu kwa watu pls!

Invisible
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…