Sala ya kuwaombea toba Washenzi wa Afrika mbele ya moyo mtakatifu wa Yesu

Tupate kwanza maana ya Mshenzi:-
1. Ni mtu kutoka nchi ngeni, tamaduni, au kikundi kinachoaminika kuwa duni, si mstaarabu, au jeuri.
2. Mshenzi kulingana na kamusi ni mtu asiyejali mambo ya Ki-Mungu, asiyekuwa na staha, au adabu.


Kwa muktadha huo hii sala itakuwa ilitumika enzi za ukoloni ambapo ngozi nyeusi alichukuliwa kuwa MSHENZI. Shenzi sana hawa jamaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…