Ndo tujifunze sasaWenzetu wanaandaliwa kitambo sana
Kushika nankusimamia mabishara
Na wazee wao
Na kweli wakiaminiwa wasimamie biashara wanafanya kweli
Ngozi nyeusi baba anataka akomae mwenyewe,na ikitokea siku anampa mtoto asimamie biashara lazima ataiuaa
Ova
Sa100 mwenyewe kawekwa mfukoni na hao wahuni sasa atafanya nini?Tuvute subira ,wahuni dawa yao ni kuwaweka wazi ili watu wajue uhuni wao ,na pia Mama Dr Samia Mh Rais huwa anapitia humu JF kwahiyo anaweza akapata pa kuanzia.
Tena kko huko kabla ya mambo ya ubia kuingia,watu waliuza nyumba mgawo wa hela wengi ulishia kuwaua kwa ngwengwe tuUchumi wao ni endelevu, sisi weusi uchumi wetu ni kunywa beeeeeer, kutia mademu.
Nyumba nyingi za Kkoo ngozi nyeusi ziliuza sana kwa Ngozi nyeupe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha uongo wako nawee, khaaaahKinasa msukuma ndy nani ?
Hawa ndy nmewajuwa leo
Ova
Hiyo ndiyo strategy ya mfabiashara mkubwa,lazima watu fulani uwaweke upande wako ili mambo yako yaendeSa100 mwenyewe kawekwa mfukoni na hao wahuni sasa atafanya nini?
Comedian wa kiume anaigiza kikeMama fatma ndy nani tena
Ova
Nenda kwa fahari Media.Hiyo taarifa ipo kwa nani nikaisome
Ubia ni mzuri kwa pande zote ila wengine wanaona bora wanunue hata kwa gharama kubwaTena kko huko kabla ya mambo ya ubia kuingia,watu waliuza nyumba mgawo wa hela wengi ulishia kuwaua kwa ngwengwe tu
Washukuru walipogundua mambo ya ubia,
Ova
Ndiyo leo nmewasikia humu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha uongo wako nawee, khaaaah
Exactly,Ubia ni mzuri kwa pande zote ila wengine wanaona bora wanunue hata kwa gharama kubwa
Duuh mbna siamini.Ndiyo leo nmewasikia humu
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo hivo.Ah duh
Ova
Pesa inaleta kila kituHahahahah kwa hio MO ana 75% zaidi duh kweli pesa huleta pesa.
Hata mipango mingi inakamilishwa na uwepo wa kibunda.Pesa inaleta kila kitu
YNWA πSi bora huyo kuliko kiepe yai
Wanamkamata kwa kosa gani πππNenda kwa fahari Media.