Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

Waache wapige soga,kupass time kesho saa sita kasoro mchana mchele utamwagwa uwanja wa ndege chato kila ndege adonoe punje yake 😅
 
Nimeona malalamiko ya mwenzetu kama binaadamu inasikitisha.

Hilo ni dogo Sana nikileta ushenzi waliyonifanyia Mimi hiyo familia ya GSM kudhulumu ardhi yangu kisa imekaa strategic na mahitaji Yao kigamboni basi nchi itazizima hii.

Mimi ni muumini wa serikali kwamba ipo na wapo serikalini watu wenye utu wa kusimamia haki za wanyonge.

Toka nimetoka gerezani Nina mwaka mmoja Kwa kesi ya kubambikiwa mauaji kisa wadhulumu ardhi yangu yenye kituo Cha mafuta na godown yenye value zaidi ya bilioni 7 Kwa kucheza deal na bank ya access na kunibambikia deni kutoka milioni 400 mpaka 1.8b Ili Kuni frustrate na wakauziana kinyemela bila kufata taratibu halali hata Moja na ushahidi wote upo Kwa familia nzima nimeutawanya Kwa serikali mbaya zaidi mahakama yote wameishika na wanasema mahakama zote zinakunywa chai salamander.

Kesi ya high court imehukumiwa na judge muhuni latifa mansour ambae ana mahusiano nao na nilivyo appeal wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Wasipojirekebisha kwenye review hakika nitawamwaga uchafu wao wote.

Tarehe 26/8/2021 baada ya uvamizi na kupora Mali zangu zengine zenye thamani zaidi ya milioni 500 na kutengenezewa kesi mbaya ya mauaji na GSM na vibaraka wake mapolisi na DC.kigamboni f.nyangasa.

Nimekaa gerezani keko from 4/9/21 to 18/3/22.

Nimeandika Kwa uchache tu nasubiria msaada Kwa jitihada ya mwisho tuliyoifanya kama familia kwenda mh.rais mama.

Na sisi ni waarabu wenzao na hatuogopi chochote ni Bora nife kuliko kudhulumiwa na kunyanyaswa kisa tajiri GSM dhulumaat .

Na Wala wasihangaike na Mimi vitisho vyao ni vingi kwangu mimi but siwaogopi na wanajua ninapoishi wajue siko peke yangu kesi hii mama yangu kaka zangu dada zangu na wake zangu na watoto zangu Tisa wote Wana kila evidence needed in their records.

Waziri wa mambo ya ndani na wizara yake yote wote wanajua. lolote likinipata basi watu Hawa ndiyo wahusika.

1.GSM
2.FSM
3.Silent ocean
4.said home shopping
5.na mapolisi wengi majina Nayahifadhi

Maana sijawahi kuona mpaka mawaziri wanajitoa akili kutetea dhulma ya huyu GSM na familia yake.

Tegemeo langu ni Allah(S.W)

Mh.rais Samia mama unaupiga mwingi Sana natumai malalamiko yangu uliyapata in writings and all evidence ndiyo tegemeo nililobaki nasubiri kwako na Kwa waziri mkuu mh.kassim majaaliwa.

Ahsanteni.
 
Daaahh....pole sana afu wanajifanya wachamungu kumbe wanafiki kabisaa Hawa mbwa ,wazinzi wanazaa hovyo nje kujifanya
Kweli kesho Kwa MUNGU Kuna Kazi
Ila Hawa endelea kuwasomea alamtara na tabattiyada tu Mungu atawalipa mbonaa

Masiku Yao ni machache sana ya KUFANYA DHULMA
 
Pambania haki yako usikate tamaa
 
wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Kwa hiyo statement ndogo tu ya kusema unawatunzia heshima majudge wao Wacha wakudhulumu tu maana hauko sawa watu wameshiriki kukuvunjia heshima na kukutapeli ww unakuja SEMA et nawatunzia heshima majudge wao Mzee uko sawa kabsa ww?

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
wakacheza wakaipeleka Kwa ma judge wao na watunzia heshima.

Kwa hiyo statement ndogo tu ya kusema unawatunzia heshima majudge wao Wacha wakudhulumu tu maana hauko sawa watu wameshiriki kukuvunjia heshima na kukutapeli ww unakuja SEMA et nawatunzia heshima majudge wao Mzee uko sawa kabsa ww?

Sent from my CPH2239 using JamiiForums mobile app
 
Kamati ya saa 72 bado haijaketi kutoa maamuzi?
 
Ndugu pole,nasema haki ya mtu haipotei,itauchelewa ila itakuja tu.Na leo hii wanaweza kujiona miamba ila kama siyo kwao basi kwa kizazi chao matendo yao yatalipwa tu.Time will tell.Masikitiko yangu ni kwa hawa tunao waona kuwa ni viongozi wa wananchi ila ni wasulubishaji wa wananchi.DC,OCD,MAHAKAMA,........Kuleni kwa hao matajirii huku mkikandamiza wanyonge,msipolipiwa nyinyi basi kizazi chenu.Huyu ni baba ana family anatendewa hivi.MUDA UTAONGEA......,ENDELEENI KULA KWA TAJIRI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…