Salaah (Silent Ocean) mrejeshee Kijana uliyetaifisha mali zake, nakupa saa 72

We urushe tu kule PM, Usisahau Bestie [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio Udaku Bestie tunataka kuzijua habari za hawa Wakuda Wanao left group letu sijui wanajiunga na group gani ??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa had baas lol
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Brother, tafuta watu, mteke , mbinye makende, mlawiti kabisaa ikiwezekana, hadi arudishe mali, ila mahakamani hutoboi
 
Najua neddy,kamikaze Ndo machoko jux najua ni basha[emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960], [emoji3][emoji1][emoji1][emoji119]
Jux anakula na kuliwaa mlongooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Hii Hatare mkuu
 
Duh, wewe sasa ndio wamekuonea sana kuliko hata huyo mleta mada
 
R.i.p JPM
 
Asante sana mkuu, kwanza pole sana kwa yanayokusibu lakini pia umeandika kwa uchache sana kinachokusibu tungeomba utuelezee kiundani ni nini kilipelekea hawa wadhulumati kudhulumu mali yako maana hii dhuluma sasa imekua sio nzuri wapo wengi wanaodhulumiwa na hawasemi popote na wengine wanaishia kuzibwa mdomo tu maana kila wanaposema hawasikilizwi na yeyote, sasa basi weka wazi nini kimetokea ni kwanini wakapora na kukudhulumu ardhi yako na kuiuza bila idhini yako?

Na katika madai yako ni nani anaepaswa kulaumiwa Bank ya Access au GSM? Au ni wote kwa pamoja baada ya kukuchezea mchezo mchafu wa kukubambikia kesi?

Emu fafanua kidogo kuna kitu ningependa kujua ilikuaje bank ya Access wakauza ardhi yako kwa GSM bila idhini yako?

Na pia unasema ulibambikiwa kesi ya mauaji na kuporwa Mali zako na Askari wanajua na GSM wanajua, emu tueleze ni nini kilifanyika ni nini hawa watu wanafanya ni uozo gani wanaufanya ambapo watu hawaujui Ila baadhi ya watu km nyinyi ambao mmepitia dhuluma zao mbaya mnaujua kua huyu mtu ni mtu mbaya sana kwa jamii?

Elezea mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…