Salaam humu ndani!

Salaam humu ndani!

Joined
Sep 18, 2022
Posts
10
Reaction score
2
Habari za majukumu ndugu zangu wana jf. Nimejiunga jf kama member mpya na naona ni vyema kujitambulisha na kuomba ushirikiano wenu. Naamini penye wengi pana mengi. Niliwahi ku-readover jf miaka ya nyuma kama 2012 hivi. Baadae mihangaiko ya maisha ikanisahaulisha kabisa jf. Wakati ule sikuwa nimejisajiri rasmi.

Kwa vile ni mui-kolojia na napenda haya mambo sana, basi naomba mnitambue kwa jina la nguli katika fani, Alexander von Humboldt.

Naomba ushirikiano wenu wadau, mie ni mpambanaji mwenzenu.

Ecologist!
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Back
Top Bottom