Salaam kutoka Ukraine na kwa Dr. Slaa, Sweden

Salaam kutoka Ukraine na kwa Dr. Slaa, Sweden

kyaibumba

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2017
Posts
715
Reaction score
994
Habari zenu wazeiya ,nilikuwa busy kidogo ,
Juzi nimepata fursa ya kutembelea Tanzania house in Sweden, na kumuona mzee mwenye Busara, Dr wilbroad slaa,

Kusema kweli ni mtu wa watu na ana upendo wa hali ya juu sana,
Mungu aendelee kumpa afya njema katika kuyakamilisha majukumu ya Taifa letu,
Pia nikarudi zangu Dnipropetrovisk nao wanawasalimu sana,
Asante
 
Habari zenu wazeiya ,nilikuwa busy kidogo ,
Juzi nimepata fursa ya kutembelea Tanzania house in Sweden, na kumuona mzee mwenye Busara, Dr wilbroad slaa,

Kusema kweli ni mtu wa watu na ana upendo wa hali ya juu sana,
Mungu aendelee kumpa afya njema katika kuyakamilisha majukumu ya Taifa letu,
Pia nikarudi zangu Dnipropetrovisk nao wanawasalimu sana,
Asante
Mhaya utamjua tu!
 
Hichi ulichokiandika hakilingani na thamani ya kilichopo ndani ya kichwa chako!!!!....

Think big take control of your mind
 
Habari zenu wazeiya ,nilikuwa busy kidogo ,
Juzi nimepata fursa ya kutembelea Tanzania house in Sweden, na kumuona mzee mwenye Busara, Dr wilbroad slaa,

Kusema kweli ni mtu wa watu na ana upendo wa hali ya juu sana,
Mungu aendelee kumpa afya njema katika kuyakamilisha majukumu ya Taifa letu,
Pia nikarudi zangu Dnipropetrovisk nao wanawasalimu sana,
Asante
yupo sweden au canada mkuuu,vipi mwanae love ulimwona ,ntumie namba zake kama ulichukua
 
Dr slaa hayupo Canada ,yupo Sweden ni balozi wa Tanzania nchini Sweden,anawakilisha hata nchi za karibu ambazo hazina ubalozi wa Tanzania
sawa mkuu vipi love hajakuambia unsalimie ase😂😂😂 ni pm number zake,ila 2017 nliwasiliana na love akanambia wapo ontario canada so washahamia sweden mkuu 🤔🤔
 
Back
Top Bottom