Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Atukuzwe Mungu wa Bwana wetu Yesu Kristo hapa ndani
Shalom Aleichem Jumuiya
Salaam Aleykhum Enyi Waja
Mwadila Mpola
Mwagona Mwagona
Simboni
Mughonile mwebha
Mwakata mweh
Naam naam; ndugu zangu salamu ni Ibaada, hivyo hata uswali, usali vipi lakini kama husalimii wanaokuzunguka basi Ibada zako nje ya hili ni UNAFIKI.
Basi kwa ajili hii niwatakie asubuhi njema na Mungu awafanyie wepesi katika harakati zenu za kutafuta riziki yenu ya kila siku.
Mkazitumie ofisi zenu kupata riziki halali, wala kwenu asiwepo Mtu mwenye kujipatia riziki kwa njia haramu.
Maana Imeandikwa Udhalimu ni Haramu na Mungu hataiondoshea taabu na dhiki na laana nyumba enye kushiba katika Haramu na udhalimu
Shalom Aleichem Jumuiya
Salaam Aleykhum Enyi Waja
Mwadila Mpola
Mwagona Mwagona
Simboni
Mughonile mwebha
Mwakata mweh
Naam naam; ndugu zangu salamu ni Ibaada, hivyo hata uswali, usali vipi lakini kama husalimii wanaokuzunguka basi Ibada zako nje ya hili ni UNAFIKI.
Basi kwa ajili hii niwatakie asubuhi njema na Mungu awafanyie wepesi katika harakati zenu za kutafuta riziki yenu ya kila siku.
Mkazitumie ofisi zenu kupata riziki halali, wala kwenu asiwepo Mtu mwenye kujipatia riziki kwa njia haramu.
Maana Imeandikwa Udhalimu ni Haramu na Mungu hataiondoshea taabu na dhiki na laana nyumba enye kushiba katika Haramu na udhalimu