nyamayao mzaramo
New Member
- Jul 9, 2013
- 1
- 0
Naitwa Nyamayao na ni mara yangu ya kwanza najiunga na Forum....kwa utangulizi tu nitakuwa nazungumzia masuala mbali mbali ya nchi haswa upande wa siasa kutoka CCm Dodoma na Chadema pia..mengi nitakayozungumza yatakuwa na ukweli asilimia 100.
odoma walipwe
Ngoja kwanza vijana wa Dodoma walipwe mshahara kisha tutaanza moja....na Heche acha kufuatilia habari za Lumumba
Kwa leo sina mengi ila tupo pamoja.
odoma walipwe
Ngoja kwanza vijana wa Dodoma walipwe mshahara kisha tutaanza moja....na Heche acha kufuatilia habari za Lumumba
Kwa leo sina mengi ila tupo pamoja.