Salaam za Xmas

Salaam za Xmas

Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Kwa Member wote wa Jamii Forums Tanzania@Lizaboni
 

Attachments

  • 1450968754715.jpg
    1450968754715.jpg
    42.1 KB · Views: 85
Last edited by a moderator:
Salamu Zangu Ziwe Maalum Kwa Wote Wanaonipenda, kunijali na Kutambua uwepo wangu na umuhimu wangu kwao... Wale wanaoungana na mimi kwa kila kitu.. Pia iwafikie masnitch wote wanaozuga ni marafiki kumbe ni Wanafiki na Waongo kupindukia.

Ni aibu kujitangaza unamtumikia Mungu wakati roho yako bado inaruhusu uongo kukutawala.

Ingawa wote ni Marafiki Zangu lakini daima Sitawasahau hawa

Missyrose
witnessj
Luv
winnlicious
madame s
sweetie
jj's
na washkaji wote ambao husimama na mimi katika ukweli.

Tuwe makini tunaposheherekea na tuamini kuwa kwa mapenzi ya Mungu tunaweza...

Mbarikiwe Sana tena sana
 
Last edited by a moderator:
Nawatakia heri ya sikukuu my dearest sister(mkemwenza) everlenk, kichaa Heaven Sent
my exs Eli79 wax Kaboom Manga ML

My darling brother mito, na little lovely sis cute b you know i love you right?
Dearest sister DEMBA Heaven on Earth brenda18
My twin missyrose

Dear friends Valentina Apologise lady Honey Faith nifah Diva Beyonce Ms.Lincoln

My babus Dark City Kaizer Asprin
Darling shem sumbai(umtunze mdogo wangu)

Na wana jf wooote kwa ujumla

Pamoja sana sista, sipati picha utakavyonukia hiyo kesho, maana leo tu upo hivyo loh!
 
Pamoja sana sista, sipati picha utakavyonukia hiyo kesho, maana leo tu upo hivyo loh!

Anavyo nukia nini? Ulimtafutia zile spray? Atleast awe ananukia
 
Back
Top Bottom