Salaam za Xmas

Salaam za Xmas

Nawashukuru wote mlionitakia kheri ya Christmas, nimefarijika.
Mungu awabariki,nawatakia nanyi pia atoto sumbai bestie mito nipo bwana,tatizo nimekuwa busy sana nowdays.
Bila kuwasahau Mdakuzi GENTAMYCINE DuppyConqueror na marafiki zangu wote humu JF.
 
Last edited by a moderator:
everlenk my dearest, nakutakia sikukuu njema, xmass na mwaka mpya mwema...I'm glad we're friends. atoto my dearest ex, heri ya xmass na mwaka mpya..nimejifunza mengi kwako. Endelea kuwa rafiki wa kweli... Heaven Sent, happy holidays my dear...you're younger but very wise...
...jf-mmu family, happy holidays!!!!
I appreciate brod darlin, thanks for honoring me always. It means a lot to this young lady. Uwe na sikukuu njema pia my kaka [emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Last edited by a moderator:
Hahahaa samahani kabisa step momma, mtoto wa watu mpole hivi usiniite kichaa looh. Thanks for everything darlin. Even though we don't know each other, you still mean a lot to me. I surely know that you are a loyal hand worth holding . Uwe na sikukuu njema pia. #blessings#

(I'm kinda emotional today)

Alot of XO XO XO XO XO darling, you mean alot too.
 
Merry Christmas and Happy New Year to all.. Love you all . Be Blessed .. Amen.. Thanks..
 
Thanks loads my kaka. Sina hata cha kuongea, ila thanks for everything. You are a very huge blessing to me, and you know how much I love and appreciate you. Stay blessed my kaka

No worries my sister, sure I know!! you too stay blessed my sister
 
Nawatakieni heri ya krismass wapendwa wangu wote especially my supernatural love mirrex a.k.a Eileen
 
Ni vigumu kuwataja majina wote humu kwani nitakuwa nimewakwaza wengine...kwani wana jf wote kwa wingi wao na umoja wao bila kusahau ukarimu wao kwangu nawaona kama ndugu zangu wa damu.......na kwa upendo wao kwangu na kila mmoja na mchango wake kwangu.....ndiyo waliofanya JF ionekane kama mahali salama na murua kwa kuelimika, kuburudika bila kusahau kujifunza mambo mbali mbali......tukiwa kama timu ya wanajamii na wenye nidhamu ya kiwango cha juu.....ndivyo vilivyosaidia jahazi la JF kufikia hapa lilipo....
Ama kwa hakika umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu......

Tuendelee ,kupendana, kushikamana, kuelimishana na kukumbushana.....na kukatazana yale yasiyokuwa mazurii.....

NATAKIA SHEREHE NJEMA ZA X MASS WANA JF WOOOOOOOOOOOTE POPOTE WALIPO.....
 
RRONDO x-mass ndio hii mbona ile ahadi yako haitimii?
 
Last edited by a moderator:
everlenk my dearest, nakutakia sikukuu njema, xmass na mwaka mpya mwema...I'm glad we're friends. atoto my dearest ex, heri ya xmass na mwaka mpya..nimejifunza mengi kwako. Endelea kuwa rafiki wa kweli... Heaven Sent, happy holidays my dear...you're younger but very wise...
...jf-mmu family, happy holidays!!!!

Asante Sana my lovely hubby ,heri ya Christmass na mwaka mpya kwako pia.......nafurahi pia unanifanya niwe mnene zaidi jukwaani humu.
 
Last edited by a moderator:
Thanks a lot kaka mtumishi, sikukuu njema kwako pia na wote wanaokuzunguka

Thanks swtlove, have a blast

Thank youuuuuu mnyaki mwenzangu. Sikukuu njema na pole kwa kuuguza ( I read it somewhere). Mungu amfanyie wepesi mgonjwa wetu

Ameen,Asante sana my young sister
 
Heheheh atoto mke mwenzio ana mashauzi jamani. Yeye ananenepa wewe unakonda hahahaha

Yaani huyu mtoto acha tu halafu atoto Ana nenepa na mengi mabwana kibao wanamgombania sasa sisi tuliofunga pingu za maisha na kina Eli twakomajeee!!! ........kinyume chake....lol

Acheni majungu nyie wanawake!! Nisinenepe kwanini wakati napendwa?
 
Last edited by a moderator:
Yaani huyu mtoto acha tu halafu atoto Ana nenepa na mengi mabwana kibao wanamgombania sasa sisi tuliofunga pingu za maisha na kina Eli twakomajeee!!! ........kinyume chake....lol
Ahhahaha na atanenepa sana mwaka huu (kinyume chake)
Acheni majungu nyie wanawake!! Nisinenepe kwanini wakati napendwa?
Haya nisamehe sana bonge
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom