Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani sana kwa mlioipitia post hii, tafadhari isambazeni ili watu wengi zaidi wasome. Najua watanzania tunapenda vipost vifupi vifupi hasa vinavyomjadili mtu mmojammoja ambavyo kimsingi havileti tija saana na natambua ni wachache tu wanaopenda kufikirisha akili yao wanaweza kusoma. Ukombozi wa fikra huanzia na kutambua kwa nini unahitaji ukombozi,basi kaka dada, mwanaume , mwanamke isambaze post hii kwa kuwa inawalenga watanzania woote, japo mjomba daktari ametumika kufikisha ujumbe! Asanteni
Mwandishi au mhariri yeyote anayependa kuichapisha hii gazetini ni ruksa bora tu kwanza anitumie private message ili nimpe consent kulinda haki ya kiuandishi au intellectual right!Ingekuwa vizuri kama post hii ingewezwa kuchapishwa kwenye magazeti.
Mkuu Katambala ruksa kuisambaza katika channel tofauti ilimmradi tu mwandishi apewe credit. Watu wanaweza kukujibu mdomo ila hawawezi kuzuia sautizetu kutoka.Hii post inatakiwa isambazwe iwafikie watu wengi zaidi, ukombozi na tiba ya fikra ndo tunayohitaji kwa sasa watanzia ili tuweze kupata uhuru wa kweli. IWekeeni sticky mods mbona kimya mpaka sasa
Pal, usimlipizie mjinga kwa ujinga.... waliotukana fani wanajijua, wanaumia kimya-kimya na huna haja ya kuonyesha hasira kwa sasa, unawajua, watakuja, utawakumbusha halafu utawatibu, wwatapona ila watabaki na majuto na maumivu ya moyo miaka nenda rudiacha unafiki we ni mmoja ya waliokuwa wanatutukana mtandaoni eti maadili ya udaktari. Tutakutana labour, Mungu atanisamehe kwa staili ntakayokuwa nafanyia kazi. Sie wajinga,wabinafsi,tusio wazalendo, tulogeuka wanasiasa tumekubali. Kuna kazi nyingi nilikuwa nazifanya kwa upendo wa watanganyika wenzangu kumbe mnatuenjoy tu.
Mtulumbi kwa Mara kwanza umenifanya nitoe machozi,yametutokea mengi lakini shukrani ya watanzania ni kututukana niko pembeni na mjomba,tumewasemehe lakini hatutasahau waliotukashifu kwenye huu mgomo.
invinsible nakuomba uweke sticky