kabintispecial
Member
- Feb 16, 2014
- 67
- 31
hii itakuwa tamu ukiongezea na yai lilochemwa na kukatwa vipande....na juisi ya limau kwa mbalii...yummy...
Cc farkhina
God knows I hate mtindi na mayonnaise
hapo kwenye yai sio tena salad ni chakula cha jioni iko..
Kama hii
Kwann? Main ingredient ya mayonaise ni mayai na oil nkupe recipe utengeneze mwenyewe
Vipi maziwa unakunywa?
God knows I hate mtindi na mayonnaise