kabintispecial
Member
- Feb 16, 2014
- 67
- 31
Mahitaji
1.Njegere
2.Carrot
3.Viazi
4.Mayonnaise
chemsha njegere zako..bt make sure zisiwe laini i mean ziive enough kwa kula,fanya hvyo kwa viazi na carrot pia..viazi na carrot vinapendeza ukikata in square shape..
lastly changanya viazi,carrot na njegere thn weka mayonnaise yako..koroga mpka mayonnaise ikae even kwenye salad yako..
NB.usichemshe mpka vikawa vilaini..
chuja maji yote kabla ya kuweka mayonnaise
1.Njegere
2.Carrot
3.Viazi
4.Mayonnaise
chemsha njegere zako..bt make sure zisiwe laini i mean ziive enough kwa kula,fanya hvyo kwa viazi na carrot pia..viazi na carrot vinapendeza ukikata in square shape..
lastly changanya viazi,carrot na njegere thn weka mayonnaise yako..koroga mpka mayonnaise ikae even kwenye salad yako..
NB.usichemshe mpka vikawa vilaini..
chuja maji yote kabla ya kuweka mayonnaise