Salah amefanya nini cha maana kwenye soka kuwazidi wenginw

Salah amefanya nini cha maana kwenye soka kuwazidi wenginw

olele

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2010
Posts
1,305
Reaction score
1,572
Kwanza ni declare interest, Mimi ni mshabiki mkubwa wa Liverpool toka miaka mingi tu, na kwa sababu hiyo automatic nakua mshabiki wa Salah lakini kwa bahati nzuri au mbaya Mimi ni mshabiki wa SOKA.

Kilichonishangaza ni hatua ya FIFA kutangaza majina ya wanasoka watatu wanaowania mchezaji bora wa dunia na Mohammed Salah akiwa mmoja wapo,

Sasa najiuliza Salah amefanya kitu gani cha maana kuzidi wachezaji kama Leonel Messi au Antonio Griezmann,

Messi kama kumbukumbu zangu ziko sawa amefunga magoli mengi na ana assist nyingi kuliko Salah, akiwa ameisaidia timu yake kubeba makombe mawili..

Griezmann hajafunga magoli mengi sana, lakini Mafaniko ya Atletico Madrid ya kubeba Europa huwezi kuyazungumzia bila kumtaja yeye, au huwezi kuizungumzia Ufaransa na kombe la dunia bila kumtaja yeye..
So na yeye ana makombe mawili makubwa.

Kama kuna mtu ana maelezo yanayoeleweka anisaidie..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wanaotoa hizi tuzo wamekuwa wa hovyo tu skuzi wanatoa hizi tuzo kwa interest za watu furani kama sio mihemko kuna wakati utafika hizi tuzo zitapoteza ladha na heshima kama kill music award

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazee niko nasikia kipindi cha Sports HQ EFM, Panju wa Panjuani anachekesha balaa.

Back to the topic; kama mshabiki wa Liverpool nimefurahi sana Mo Salah kuwemo kwenye top 3 ya FIFA.

Hata mimi sijui Salah anakuwaje ndani ya top 3 ya FIFA mwaka ambao WC imechezwa na kaondoka round ya kwanza.

Kuwemo UEFA niliona ni sawa lakini kupewa Modric badala ya Ronaldo ni dharau kwetu washabiki wa mpira.
 
Kwanza ni declare interest, Mimi ni mshabiki mkubwa wa Liverpool toka miaka mingi tu, na kwa sababu hiyo automatic nakua mshabiki wa Salah lakini kwa bahati nzuri au mbaya Mimi ni mshabiki wa SOKA.

Kilichonishangaza ni hatua ya FIFA kutangaza majina ya wanasoka watatu wanaowania mchezaji bora wa dunia na Mohammed Salah akiwa mmoja wapo,

Sasa najiuliza Salah amefanya kitu gani cha maana kuzidi wachezaji kama Leonel Messi au Antonio Griezmann,

Messi kama kumbukumbu zangu ziko sawa amefunga magoli mengi na ana assist nyingi kuliko Salah, akiwa ameisaidia timu yake kubeba makombe mawili..

Griezmann hajafunga magoli mengi sana, lakini Mafaniko ya Atletico Madrid ya kubeba Europa huwezi kuyazungumzia bila kumtaja yeye, au huwezi kuizungumzia Ufaransa na kombe la dunia bila kumtaja yeye..
So na yeye ana makombe mawili makubwa.

Kama kuna mtu ana maelezo yanayoeleweka anisaidie..

Sent using Jamii Forums mobile app
Media na Fa ya Uk ni very powerful. Wao ndio wameforce haya.
 


Andy West

[emoji818]@andywest01

Anyone who thinks Salah deserves to be on FIFA's award shortlist ahead of Messi is wrong, plain and simple. If you measure by silverware, Messi wins (2-0). If you measure by goals, Messi wins (45-44). If you measure by any other performance metric, it's not even remotely close.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Salah ana deserve,coz ishu hapo ni form ya mchezaji kwa msimu mzima ,kama kigezo ni makombe mi nafikiri wakina de bruyne, mbappe na grizz wote wangeingia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza ni declare interest, Mimi ni mshabiki mkubwa wa Liverpool toka miaka mingi tu, na kwa sababu hiyo automatic nakua mshabiki wa Salah lakini kwa bahati nzuri au mbaya Mimi ni mshabiki wa SOKA.

Kilichonishangaza ni hatua ya FIFA kutangaza majina ya wanasoka watatu wanaowania mchezaji bora wa dunia na Mohammed Salah akiwa mmoja wapo,

Sasa najiuliza Salah amefanya kitu gani cha maana kuzidi wachezaji kama Leonel Messi au Antonio Griezmann,

Messi kama kumbukumbu zangu ziko sawa amefunga magoli mengi na ana assist nyingi kuliko Salah, akiwa ameisaidia timu yake kubeba makombe mawili..

Griezmann hajafunga magoli mengi sana, lakini Mafaniko ya Atletico Madrid ya kubeba Europa huwezi kuyazungumzia bila kumtaja yeye, au huwezi kuizungumzia Ufaransa na kombe la dunia bila kumtaja yeye..
So na yeye ana makombe mawili makubwa.

Kama kuna mtu ana maelezo yanayoeleweka anisaidie..

Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utoto mkuu,,, mwakani mbwana samatta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom