Salam kwako salam

Salam kwako salam

Viroja vya mashabiki wa Ali K vyaendelea!

Swali kwako mleta mada: baada ya Ali kuzimiwa mic; hatimae Chris Brown alipanda jukwaani na kutumbuiza kabla hajasepa zake! Sasa je; unataka kutuambia kama si Sallam kuzima mic, Kiba angemaliza muda wake wote aliokuwa amepangiwa kisha ndipo Brown angepanda bila kujali kwamba Brown alikuwa anakimbizana na muda?


si ndio hapo mkuu,kama kiba alitakiwa aendelee kutumbuiza wakati mic ilivyozingua si ingerekebishwa kisha angeendelea na show,mbona baada ya hapo tu akashushwa chini,ndio ujue kuwa hiyo issue ilipangwa na waandaaji wa show,pia salam yeye ni nani hadi azime mic halafu achukuliwe kipoa tu na waandaaji,mashabiki wa kiba waache ujinga,wanajidhalilisha sana kwa kushindwa kureason vitu vidogo vidogo tu
 
siku hizi bifu za kipumbav.u zikiisha ndo utakua mwisho wa ali kiba, na mwenyewe anajua hili ndo mana anajitahidi kila siku kutafuta bifu mpya, kiba ana roho ya kichawi afu anajitia anasali kuna jamaa wanajua kumkejeli Mungu!!
 
tuacheni jamani hayo mamboo!

tudumishe mziki mzuri!
 
Nimeyaona mahojiano ya Iive kati yako salam na DJ wily tuva then ya ali na wily ,
Kwanza hakuna haja ya ali kuomba msamaha kwa kusema show ilizimiwa backstage na we we kuita ni upotoshaji kwamba backstage hakukai sound MTU anaweza zima sound just kwa ku ORDEr then umekili kuwa ulikuwa backstage wewe wizkid na meneja wa chriss brown katika mazingira ambayo shoo ilisimama kwa nusu saa kutokua na uelewano apande ali Ana wiz kid then katika mazingira yaleyale ya we we kuwa na wizkid,meneja wake na Chris's brown bado kunaacha shaka kwamba unaweza kuwa ili influence mitambo kuzima katika perspective ya kibiashara coz ulienda tangaaza ama uza bishaa yako dhidi ya bidhaa iliyokuwa ina perform yumkini
Kajifunze uandishi then urudi hapa upya. Me sina kuku haya mashudu napeleka wapi sasa
 
Nimeyaona mahojiano ya Iive kati yako salam na DJ wily tuva then ya ali na wily ,
Kwanza hakuna haja ya ali kuomba msamaha kwa kusema show ilizimiwa backstage na we we kuita ni upotoshaji kwamba backstage hakukai sound MTU anaweza zima sound just kwa ku ORDEr then umekili kuwa ulikuwa backstage wewe wizkid na meneja wa chriss brown katika mazingira ambayo shoo ilisimama kwa nusu saa kutokua na uelewano apande ali Ana wiz kid then katika mazingira yaleyale ya we we kuwa na wizkid,meneja wake na Chris's brown bado kunaacha shaka kwamba unaweza kuwa ili influence mitambo kuzima katika perspective ya kibiashara coz ulienda tangaaza ama uza bishaa yako dhidi ya bidhaa iliyokuwa ina perform yumkini
Mdai fidia basi
Nyie ndio mnamuharibu Kiba,Muulizeni kwa nini alikua anategea kupanda jukwaani kwa dakika 30,kwani angeanza kupanda kiba angekufa?Mbona mdee kaanza kabla yao na amepeta,mambo mnaharibu wenyewe mnatupia lawama watu ambao hawahusiki.ushamba tu!
 
Kibakuli tulia umeshapotea,wewe tangia 2005 unahit tu,one8 upo na hukutumia fursa,mwenzako kaja 2009 katusua wewe umebaki kulialia acha ujinga.
 
Waswahili wanasema km huwezi shindana nae basi ungananae.ally anatakiwa atambue kuwa mondi ni perfect boy in Africa apunguze lawama ile sio lever yake.huyohuyo alisema kuwa mond ananunua tuzo huku ni kuwatia ujinga mashabiki zake jitathmin ally ili ujue ulipokosea
 
Back
Top Bottom