Nimeicheck hii ngoma,madogo wameanza vizuri...ila ningewashauri baadhi yao wabadilishe A.K.A zao coz ni mbaya kupata kutokea,wasisahau kuwa hata haya majina ya kisanii wanayotumia yanaplay role kubwa saana ktk msanii kujulikana kirahisi kwa hadhira...bora huyu aliyejiita
@Osama na nazani ndo atakuwa famous haraka kuliko hao wengine.
Kuna huyu dogo aliyekuwa akiimaba kiitikio na osama yupo vizuri sana lkn aka yke si rafiki kwa kweli
@podo namshauri atafute jina la kijanja,na pia kuna kale kadogo kao kaliimba mwisho kbs kama kanalalamika,inabd nae abadili ID yke anajiitaje @kijokachamdimu cjui...atafute jina la kijanja bana hadhira imtambue haraka....big up kwao,hasa hasa
@Osama na
@podo wameipamba hii ngoma!