Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
Hapa sina uhakika kama mboni ya jicho langu na ubongo vimepeana ushirikiano wa kutosha.....????
Baada ya salamu nina ujumbe kwenu: Stand down. Makuwadi na vikaragosi vyenu viambieni virudi nyuma. Miti mingine haikwewi na milima mingine inatosha kuiangalia kwa mbali tu. Mlifanyalo lifanyeni haraka kwani kiza kimeingia.
NB: Salam kwa RO... if you act now you (kwa kumhamisha kuwadi wao) you might change my mind (probably others too) but if you don't nitaamini umesanction the stealth move.
Otherwise; 2010 ni mwisho wao. So like that stupid commercial here in the US "do you want it to hurt now or later".. ?
Vitoto vya Nzi navyo havilali!
Hapo Mzee MJJ kwa walio wengi umetuacha solemba salamu hizo mbona hazieleweki eleweki,na kama hawataitikia salamu zako ni nini kitafuata?
unajua kuna zile salamu ambazo unampa mtu na anajua umemsalimu; lakini asipojibu wewe huna tatizo unaendelea na safari yako lakini ukweli ulibakia kuwa ULIMSALIMU.
Hapa sina uhakika kama mboni ya jicho langu na ubongo vimepeana ushirikiano wa kutosha.....????
LOL ni salamu tu za kirafiki kama zile zinazotolewa kati ya nchi za kikomunisti wenyewe wanaziita "salamu za mshikamano"; tatizo hizi ni za "mikinzano". Uache ubongo ukubali kile macho yanaona. Kwani mazingaombwe ni sanaa ya kuyalaghai macho.
hapa sijaelewa mafumbo haya!
Hapo Mzee MJJ kwa walio wengi umetuacha solemba salamu hizo mbona hazieleweki eleweki,na kama hawataitikia salamu zako ni nini kitafuata?
Hata high power microscope yangu imetoka kapa. Nahisi tu kama naota kwamba jamaa wanamtangazia dau MMJ, au? Kama ningeweza kukemea, basi ningejaribu kwamwambia huyo shetani anyauke na mbawa zake zisinyae kama mfuko wa rambo uliotiwa kiberiti.
yule wa Mwang'onda.. wenyewe watu wa karibu wanajua kwa jina lake la mwanzo "cornel"..hapa sijaelewa cuzin ni Apson yupi unayemuongelea?....
yule wa Mwang'onda.. wenyewe watu wa karibu wanajua kwa jina lake la mwanzo "cornel"..
yule mtoto wa former state of inteligence chief ambaye anagombani hiyo kiti cha NEC?....Fill me in cuzin may be i can help you on one way or another...if and only if you need ur msg to be delievered....