Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mfano, we umechangia hapa imekusaidia nini..??mfano ukijua itakusaidia nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfano, we umechangia hapa imekusaidia nini..??mfano ukijua itakusaidia nini?
Mkuu jina lako na avatar yako imeniacha hoooi kwa kichekoKumbe na wewe umeleta kama tetesi kwa kuwa hujasoma gazeti? Acha hiyo mambo aisee
Wewe si mtoa mada, comment ilidhamiriwa kuwa ya mtoa mada lakini unajitia kiherehere cha kuuliza. Kama umetiwa mimba na wewe tafadhali katafute wa kumpelekea kisirani cha ujauzito wako, usilete kwangu. Na kama dhamira yako ni kuongeza idadi ya post basi umefanikiwa.Mfano, we umechangia hapa imekusaidia nini..??
Ungemwandikia PM....Wewe si mtoa mada, comment ilidhamiriwa kuwa ya mtoa mada lakini unajitia kiherehere cha kuuliza. Kama umetiwa mimba na wewe tafadhali katafute wa kumpelekea kisirani cha ujauzito wako, usilete kwangu. Na kama dhamira yako ni kuongeza idadi ya post basi umefanikiwa.
Sele ubuyu sio mzuri kwa jinsia yetuWakati napita pita kwenye milardayo dot com nimeona kuna hii habari ipo kwenye kichwa cha habari cha gazeti la MIKASA. Kwa wale watakaobahatika kuisoma naomba mje mnihadithie ni mimba ya nani na ina miezi mingapi..? Asante
Lakini hukujibu, umeuliza swali. Tafadhali rejea comment yako ya mwanzo.Ungemwandikia PM....
Ukishaiweka hapa yeyote yule anakujibu
Hata swali laweza kuwa jibu tosha kabisa, na limekuchoma ndio maana unaweweseka.Lakini hukujibu, umeuliza swali. Tafadhali rejea comment yako ya mwanzo.
cha ajabu ni Salama kupata mimbacha ajabu nn hapo
huyo salama ni mwanamke au mwanaume?cha ajabu ni Salama kupata mimba
Labda cha ajabu hapo ni kwa vile hajawahi kuvaa gauni wala sketi [emoji85] hata kwangu inasound so wiard salama hajawahi kukaa kikike kabisacha ajabu nn hapo
Hajakaa kike.kwn ajabu mwanamke kupata mimba?