Salama Jabir kuwa msemaji mpya Simba

Hana hamasa huyooo. Huyo mdada hana amsha amsha kama Manara .Ukweli ndiyo huo na msema kweli ni mpenzi wa Mungu tusijifariji kirahisi hivyo kuziba pengo la Bugati ni ngumu si rahisi kihivyo.Kama hamuamini tusubiri muda utasema
 
Pia anafaa,shida ya Mwijaku atataka kuendeleza vijembe kwa Haji wakati hayo mambo ya vijembe yashapitwa na wakati kwenye club ya Simba.
Mwijaku abaki kuwa chawa tu.
 
Kwanini msingemchukua Masau bwire ? Na akaunti ya insta akapewa admin wa ruvu shooting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…