Hivi ni kitu gani pale ambacho ni very unique cha kuona Salama ameiga kila ki2 kutoka MTV? Ile show kufanyia Salon au maswali? By the way, hivi kuna mtu aliye interested na kile kipindi kutokana na mandhari ya wapi kinafanyika badala ya maswali? Na kama maswali, mbona maswali staili ile Salama hajaanza kwenye kipindi cha Mkasi? Ilikuwa vipi kwenye Planet Bongo?
Mbona kila kitu kipo wazi? Huwezi kusema fulani anaiga kuvaa viatu wakati kuvaa viatu ni jambo la kawaida! Na ndio maana nikakuuliza ni kitu gani ambacho ni unique kwenye Mkasi cha kusema kwamba Salama anaiga, labda kama ni kufanyia show salon otherwise sioni alichoiga. Kipindi ni cha mahojiano na kuna vipindi kibao vya mahojiano! Na kila kipindi cha mahojiano ni kawaida kuwapo maswali! Wanachopenda watu kwenye Mkasi ni vile Salama anavyoendesha kipindi chake na maswali; vitu ambavyo huwezi kusema ameiga coz' she's good on that tangu alipokuwa PB.Inawezekana sijaelewa mantiki yako..
Unauliza maswali? Unapinga? Unakubali au unashangaa!
Weka sawa meseji yako
Muungano ukivunjika nitamlipia work permit salama abaki huku huku. Naupenda uchizi na uhuni wake tu.
Kama kazi zao ni za saloon za unyozi basi ni bora wajikite zaidi huko kuliko kutuharibia kipindi na maswali yao ya kijiweni..haswa huyo muba ni kijisauti chake kama kakabwa koo...wao waendeleze swali lengwa but sio wamuondoe muulizwaji kwenye mada!!!Watu mnashindwa kuelewa ,kuwa mtangazaj pale ni salama,wale jamaa wapo katika kukamilisha aidia ya kipind kuwa ni mkasi "mazungumzo ya washikaj salooni" na hata kazi zao pia ni za saloon mfano Muba "yule mwembamba" ananyoa kwenye saloon moja ipo didis pub oysterbay.
Mbona kila kitu kipo wazi? Huwezi kusema fulani anaiga kuvaa viatu wakati kuvaa viatu ni jambo la kawaida! Na ndio maana nikakuuliza ni kitu gani ambacho ni unique kwenye Mkasi cha kusema kwamba Salama anaiga, labda kama ni kufanyia show salon otherwise sioni alichoiga. Kipindi ni cha mahojiano na kuna vipindi kibao vya mahojiano! Na kila kipindi cha mahojiano ni kawaida kuwapo maswali! Wanachopenda watu kwenye Mkasi ni vile Salama anavyoendesha kipindi chake na maswali; vitu ambavyo huwezi kusema ameiga coz' she's good on that tangu alipokuwa PB.
Kama kazi zao ni za saloon za unyozi basi ni bora wajikite zaidi huko kuliko kutuharibia kipindi na maswali yao ya kijiweni..haswa huyo muba ni kijisauti chake kama kakabwa koo...wao waendeleze swali lengwa but sio wamuondoe muulizwaji kwenye mada!!!
Naomba niongeze...Salama ni mbunifu na ni mtangazaji mzuri,mimi na mnanisha na ellen wakule marekani,ila hawa ma bwana wawili,kwa kweli ni mizigo,wana point saa nyengine na saa nyengine wanautumbo mwingi..bila mfano,kwa sababu najua watamazaji wana lijua,sina bifu na mtu wala wivu,ila jamaa wamekaa kima igigo sanaaa.
Ushaanza DSTV kwani tv yako haikubali continental dicoder,Azamtv,Startime,Digtech,...........Yah ni kizuri sisi wa DSTV tunakosa uhondo.
Mbona kila kitu kipo wazi? Huwezi kusema fulani anaiga kuvaa viatu wakati kuvaa viatu ni jambo la kawaida! Na ndio maana nikakuuliza ni kitu gani ambacho ni unique kwenye Mkasi cha kusema kwamba Salama anaiga, labda kama ni kufanyia show salon otherwise sioni alichoiga. Kipindi ni cha mahojiano na kuna vipindi kibao vya mahojiano! Na kila kipindi cha mahojiano ni kawaida kuwapo maswali! Wanachopenda watu kwenye Mkasi ni vile Salama anavyoendesha kipindi chake na maswali; vitu ambavyo huwezi kusema ameiga coz' she's good on that tangu alipokuwa PB.