Mkalibari
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 659
- 399
Hivi ni kitu gani pale ambacho ni very unique cha kuona Salama ameiga kila ki2 kutoka MTV? Ile show kufanyia Salon au maswali? By the way, hivi kuna mtu aliye interested na kile kipindi kutokana na mandhari ya wapi kinafanyika badala ya maswali? Na kama maswali, mbona maswali staili ile Salama hajaanza kwenye kipindi cha Mkasi? Ilikuwa vipi kwenye Planet Bongo?
Inawezekana sijaelewa mantiki yako..
Unauliza maswali? Unapinga? Unakubali au unashangaa!
Weka sawa meseji yako