Salama Jabir utaolewa lini?

Salama Jabir utaolewa lini?

I doubt kama ana sexual feelings towards the opposite sex, maana miaka ya nyuma alikuwaga jirani yangu, alipanga flat Kawe na demu wake (mahaba yalikuwa inje inje) kwahiyo siyo siri kuhusu lifestyle yake.
 
Mkuu unatoka mkoa gani,?
Dar..kwani VP..basi Na yy aachee kushangaa mwenzakee ambaoo waneamua kuuchuna kama Ndo ivyoo kinachomfanya MTU kama hajaoa ana juolewa au kutokuzaa anampindaa mpaka anasimama if that us a case..Salama Jabil utaolewa link. Tofautisha Na utazaa lini
 
Haya maisha ni kila mtu anavyoamua yawe upande wake...
 
Kila mtu na maisha yake,
Ataolewa akipenda,
Asishangaliwe kama hatopenda.
 
Ni kawaida saana kwenye kipindi chache akiwauliza wasanii au watu maarufu maswali haya; Utaona lini? mbona huna mtoto?

Na akijibiwa kinyumee anashangaa as if yeye ametimiza hivyo na umri una kwenda salama Jabir star wetu unaolewa linii?

Kujaa hapa kujibu.
Salam jabir Jini mahaba hilo....
 
Afu kikongwe yule,toka nipo drs la 5 yupo vile vile..
 
I doubt kama ana sexual feelings for the opposite sex, maana miaka ya nyuma alikuwaga jirani yangu, alipanga flat Kawe na demu wake (mahaba yalikuwa inje inje) kwahiyo siyo siri kuhusu lifestyle yake.
Yesu njoo jamani, eueiiiiw, yeuwiiiie, njoo uone huku
 
Back
Top Bottom