Salama Jabir vs Dj Fetty


ni kweli, zaidi fetty ni mvuta sigara aliebobea.
 
Wote akili zao za ovyo kutokana na wayatendayo.ila kondom mkali
 
Wote masela, sema Salama kapitiliza! Wote ma-Tom Boys, sema Salama kapitiliza! Wote wakali, sema Salama kapitiliza...but hili hapa, ni mimi binafsi; am certain kwamba naweza kulala kitanda kimoja na Salama hadi asubuhi na wala nisishtuke, lakini DJ Fetty, hata kama yupo chumba cha pili, nitamfuta huko huko....pamoja na usela wake, element za kidemu zipo tu!
 
salama ananafasi Yake katka fan ya Utangazaj.... Ae inspire weng sana nahs hata hyo fatty .... So lazma apewe heshma yake.... Na kumpambanisha na fetty ni Kumshusha hadhi... Ila fety anaweza ila si kwakumpambanisha na salama plus hata ki IQ salama anaonekana yupo vzur kuliko fetty
 

Mwenda wazimu pekee ndiyo anaweza akaamini huu uwongo wako!
 
Vile vitoto vyote nuksi ila binti jabri kazidi sana! anamudu kila idara!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…