Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

Salama Jabir wa Mkasi, Lugha Chafu hii Haikubaliki Hata Siku Moja

Tangu kuanzishwa kwake, nimekuwa mfuasi mzuri wa kipindi cha MKASI kinachorushwa na kituo cha East Africa TV. Jumatatu akiwa anamhoji msanii Diamond, Salama Jabir alimuuliza msanii huyo, KWA MARA YA MWISHO UME-SEX LINI? Ikiwa hiyo haitoshi, akamuuliza HUWA UNATUMIA CONDOM AINA GANI? Pia, akamwamwambia NASIKIA UMEBARIKIWA KAMA PUNDA,,,,,NDIO MAANA WANAWAKE WENGI WANAKUFUATA,,,,,
Nilijiuliza maswali yafuatayo:
1. Inakuwaje Salama aulize maswali hayo bila kutumia tafsida?
2. Kipindi hiki ambacho hurushwa wakati wa prime time, muda ambao familia nyingi huwa (sitting room) nyumbani,
inakuwaje baba, mama na mtoto ambao walisikia kwa pamoja maswali hayo?
3. Lengo la Salama lilikuwa ni nini?
4. Kwanini tunakubali mila na desturi zetu kuziharibu namna hii kwa kuiga uzungu?

Tunakupenda, tunapenda ubunifu wako, tunathamini kipaji chako,,,,lakini tunakuomba ubadilike

Tanzania tuliharibu pale hawa jamaa wa wizara ya Michezo (sikumbuki jina la mbele maana kila mwaka RAHISI anabadili) tulipo ondoa uwezo wa Kitengo kilichokuwa kikisimamia katika Maadili katika kazi za wasanii wetu. Mfano: wimbo wa BOMOA (sikumbuki band); Kwa Soksi (Remmy Ongala) ilipigwa marufuku....Huo ni wakati maadili yanafuatwa-hata kama kuna sehemu waliharibu_WALioKUWA NA NIA NJEMA na MEMA yalizidi UPUMBAVU!

Kwa sasa ni uwanja “huru“ unatukana unajiimbia choxhote bora kiuzike! NDICHO KIPIMO CHA KUOZAA JAMII YETU WATANZANIA!
 
Hivi watu wazima wanatizama EATV! Nilidhani ni channel ya vijana pekee.
Kama ni ya vijana pekee it is even worse maana this conversation is not suitable for the youth.
Kuna namna unaweza kuzungumza kuhusu sex, condom na maumbile
in a way that is educative na ikawa sawa hata kwa watoto kusikiliza,
na kuelimika. ila hilo la kuuliza kama "wanawake wanampenda sababu
kajaliwa kama punda" is sending a very wrong message to our youth
who would think that a large penis is the key to love or to great sex.
Pia kwa watoto wanao muona diamond kama icon fulani, a role model,
wanaweza wakadhani having sex as many/few time as Diamond ndio ujanja.
Maybe that should have been cut wakati wanaandaa kipindi.
 
kwanza nikufahamishe kuwa, kuna kitu kinaitwa watershed ambacho nadhani hapa kwetu hakizingatiwi labda kwasababu za uzembe au kutokujali kwa watendaji wa vituo husika vya television.Lakini hapohapo kwenye watershed,kila inchi ina muda ambao vipindi ambavyo vina "adult content" vinaruhusiwa kurushwa hewani ikieleweka bayana kwamba watoto hawato ruhusiwa kuangalia television katika kipindi hicho. Tafsiri fupi ya watershed ni hiyo hapo chini!

In television, the term watershed (alternatively referred to as safe harbor in the United States, and as adult time in Venezuela) denotes the time period in a television schedule during which programs with adult content can air.
Much as how a watershed in British and Australian usage refers to "the ridge or crest line dividing two drainage areas", a television watershed also serves as a dividing line – it divides the time between where content for families and/or children has to be aired, and where content aimed towards an adult audience can be aired (there is no obligation to). Examples of adult content include, but are not limited to, graphic violence, horror, strong language, nudity, sexual intercourse or reference, drug use, and/or sexually suggestive themes. In most countries, the same set of rules also apply to commercial advertisements (whether it be the way the commercial was produced or an advertisement for an adult product, such as condoms).
Due to cultural differences around the world, watershed times can vary (for instance, in New Zealand, the watershed time is at 20:30, and in Italy, the watershed time is at 22:30). Some countries also have multiple watershed layers, where less inappropriate content than others may be allowed at an earlier time but may still be restricted. In addition, some countries may be more lenient towards subscription or pay-per-view channels than towards free-to-air channels.


...Angalau wewe umetoa jibu lililokwenda shule kuliko mengi ya yaliyotangulia, kama sio Yote...!!
 
salama jabir ndo nani??

salama.jpg
 
Nadhani kila mtu an uhuru wa kuongea, Salma Jabir ni Salma Jabir kwake poa kwa wengine sio poa tunawasaidiaje?:baby:
 
kweli Mzalendo inabd atumie tafsida kupunguza ukali wa maneno.....muda uwa kpnd mara mara nyingi watoto wanakuwa bado hawajalala....Siyo Diamond tu kwan hata Kanumba alimuuza maswali km hao.....kujfanya uzungu na kuendekeza ni ujinga kwan ni utumwa na umaskini wa fikra/mawazo..!! :director:.... :blah:
 
Naomba niwe mkweli tu kwenye hili, clouds tv kwangu ni scrambled channel, Tbc hii channel niliispare kwa ajili ya tamthilia ya La Revenge tu, Mkasi hicho kipindi huwa kinanikuta accidetaly tu tena kikiwa katikati, sijawai kuona la maana zaidi ya kuoshana miguu na kukata kucha, nilisikitika sana kumuona Aden Rage naye akiwa ni miongoni mwa washiriki wa ujinga huo.

But all in all Salama ana kipaji kizuri sana ila nadhani apunguze bangi na akubali kama yeye ni mtoto wa kike. Atajifanya msela sana na kauzu zaidi ya dagaa lakini mwisho wa sikuu akikojowa ni lazima achuchumae.

umeharibu mwishoni nilijua mstaarabu kumbe akili na wewe unaficha kwenye viatu
 
Mlimo ko uli
Hakukua na neno baya sana kati ya hayo, issue ni kwanini alimuuliza? Salama huw anamhoji mgeni kulingana na stori iliyoko mtaani na inavuma. Hivyo hakuwa amefanya vibaya sana kulingana na aina ya wateja wa kipindi chake.
 
Salama yuko talented. She is to be admired. Yuko creative, confident and straight forward.
Sehemu niliyoiona mimi alisema "mara ya mwisho kujamiiana ni lini" Diamond akajibu "last night". Akamuuliza "mara ya mwisho kulia" akajibu "last night" Salama akasema duh so last night ilikuwa busy night.
Kama alisema kusex, bado pia ni tafsida, ingawa hilo mimi sijaona wala kusikia. Neno ambalo lisingekuwa tafsida ni kuto#*^$na. Yeye hajatumia hilo.
I think tuwe tunawapongeza na kushow appreciation kwa wenzetu wenye vipaji vya usanii when they are alive kuliko kusubiri mpaka wafe tujazane msururu kwenye mazishi kuwaaga.
 
Sasa ukimwangalia Salama na Diamond akili zao si ni sawa tu.
 
Back
Top Bottom