SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Wakati fulani nilimsikia kijana mmoja akimsalimu mzee wa makamo kwa kumwambia "Heshima zako mzee" Nilifikiri huyo kijana hakuwa mtanzania kwa sababu huku tanzania tunajua namna ya kumsalimu aliyekuzidi umri.
Ila juzijuzi nilimsikia mtangazaji wa kituo kimoja cha tv- startv - akimsalimia mzee wa makamo: "Heshima zako mzee" naye mzee akajibu, asante.
Nikajiuliza: Je vijana siku hizi wanaanza polepole kubadili salamu tuliyoizoea ya Shikamoo?
Je ni mwelekeo ya salamu mpya kwa siku zijazo?
Ila juzijuzi nilimsikia mtangazaji wa kituo kimoja cha tv- startv - akimsalimia mzee wa makamo: "Heshima zako mzee" naye mzee akajibu, asante.
Nikajiuliza: Je vijana siku hizi wanaanza polepole kubadili salamu tuliyoizoea ya Shikamoo?
Je ni mwelekeo ya salamu mpya kwa siku zijazo?