Snipes
JF-Expert Member
- Jul 2, 2013
- 9,165
- 16,791
binafsi watu ninaowapa shikamoo sikuiz ni wale ambao tangu zamani (kabla ya kujielewa) nilikuwa nikiwapa hiyo shkamoo
mtu mpya hata unipite vipi hupati shkamoo kutoka kwangu ila si kama siwaheshimu coz unaweza ukatoa shkamoo na huyo unaemuamkia usimuheshimu vile vile
mtu mpya hata unipite vipi hupati shkamoo kutoka kwangu ila si kama siwaheshimu coz unaweza ukatoa shkamoo na huyo unaemuamkia usimuheshimu vile vile