Una show love.Kusalimiana ni ishara ya upendo, kama mtu atakusalimie na kushika hamsini zake sawa.
Tatizo ni ule unafiki wa kumkimbilia mtu mpaka unamshika na mkono na kuanza kujichekesha kisa ana hela
Au unahitaji kumpiga mzinga, hao ndio wanafiki sasa
Ila ukisalimie na kupita zako ni wajibu
Eti bhanaTukisalimiana Kuna shida kwani?
HaswaaaUna show love.