Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
WASWAHILI TUNA ROHO MBAYA
MPAKA SHETANI ANATUOGOPA. Kuna
mtu kajibunia mradi wa kufuga kuku wa
nyama na mayai, baada ya miezi
kadhaa kaanza kuingiza cash! Jirani
kuona hivyo, akaamua auze gari,
akejenga mabanda na kufuga vicheche
na mapaka shume ili wamalize kuku
wa jirani yake
Kusosoa Tigo ni dhambi tu !
Haijalishi umesosoa ndani kopo au nje ya kopo.
Eti tuache roho mbaya
Nini kinaendelea hapa? Kwani Bujibuji kesharudi uraiani?
Nataka kulewa!!!!!!!!!!! Lady doctor niletee ile whiskey nichangamshe kichwa.....!
Nini kinaendelea hapa? Kwani Bujibuji kesharudi uraiani?
Nataka kulewa!!!!!!!!!!! Lady doctor niletee ile whiskey nichangamshe kichwa.....!
wiski atoe wapi? we sema unataka kiroba!!!
Nini kinaendelea hapa? Kwani Bujibuji kesharudi uraiani?
Nataka kulewa!!!!!!!!!!! Lady doctor niletee ile whiskey nichangamshe kichwa.....!
Nini kinaendelea hapa? Kwani Bujibuji kesharudi uraiani?
Nataka kulewa!!!!!!!!!!! Lady doctor niletee ile whiskey nichangamshe kichwa.....!