Prof Janabi wa JF
Senior Member
- Jul 7, 2023
- 165
- 450
Wakuu vyakula vya Marekani sio vyepesi sana kujisosomola maana mimi nishazoea ugali mgumu sasa huku ni mwendo wa madude fulani ya ajabu ajabu.
Ila nikasikia wanasifia sana Taco nikaona ngoja nilo hilo taco wanalolisifu.
Aisee taco ni tamu mno, na leo nitakula matako mengine.
Picha ya Taco
Ila nikasikia wanasifia sana Taco nikaona ngoja nilo hilo taco wanalolisifu.
Aisee taco ni tamu mno, na leo nitakula matako mengine.
Picha ya Taco