dawa ipo ila inakula na nguvu za kiume, yaani kimekaa pabaya kama UKIMWI na ngono.Kwan hamna tiba maan inakera kinoma
Kwan ni dawa ya kumeza au kama mafutadawa ipo ila inakula na nguvu za kiume, yaani kimekaa pabaya kama UKIMWI na ngono.
zipo zote mpaka sindanoKwan ni dawa ya kumeza au kama mafuta
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unakuwa kama yule wakili AlbertMsandoWhether ni kipara au kipala, salamu kwa wale hasa ambao wako chini ya miaka 30 lakni nywele za kichogoni na mbele zineisha au kudhoofika.
Tuko pamoja katika hili,, usipoteze muda huwezi kutibu, kikubwa jikubari, nyoa mara kwa mara kisha tafuta HELA na HEKIMA ( ELIMU).
Tujuane mapema mapara boy ila kitandani wenye vipara tupo njemazipo zote mpaka sindano
mzee mimi toka babu wa babu mzaa babu hawana umaskini wa nywele, kwa hiyo mm mpaka kaburini nitakuwa sina kipara.Tujuane mapema mapara boy ila kitandani wenye vipara tupo njema
Zinauzwaje za kupaka na zinaitwaje nisaidie majinazipo zote mpaka sindano
Usiniambie una mvi...naomba nije nizionePoleni wenye upara, tupeni pole tulioanza mvi udogoni.
..we acha tu best, mvi za kufa mtu!!Usiniambie una mvi...naomba nije nizione
Haha pole..we acha tu best, mvi za kufa mtu!!
Semaa mzee una bichwa maana Mara ya kwanza nilijua umevaa helmentHapa haipiti siku tano Lazima niung'arishe na ni under 25View attachment 1110671