kajojo
JF-Expert Member
- Jun 9, 2012
- 2,946
- 5,470
Aisee kumbe ni wewe hahahaHapa haipiti siku tano Lazima niung'arishe na ni under 25View attachment 1110671
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee kumbe ni wewe hahahaHapa haipiti siku tano Lazima niung'arishe na ni under 25View attachment 1110671
hahaha kaka ili kusave hela , ununue mashine yako ya kuchaji tu, unajinyoa vizuriHapa haipiti siku tano Lazima niung'arishe na ni under 25View attachment 1110671
Tiba ipo. Ni upungufu tu wa vitamins ndio nywele zinadhoofu. Kula sana Beta Carottene, tatizo litaondoka tartiiiiiiiiibuKwan hamna tiba maan inakera kinoma
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mm nilishajikubali zanani. Yaani kiukweli usiponyoa mtu akikuangalia kutokea kwa nyuma utafikit kibabu!!!
Sasa mbona una kipara cha M@tako kwenye avatar yako??mzee mimi toka babu wa babu mzaa babu hawana umaskini wa nywele, kwa hiyo mm mpaka kaburini nitakuwa sina kipara.
Na tulioanza na mvi na kipara kwa wakati mmoja?Poleni wenye upara, tupeni pole tulioanza mvi udogoni.
Nawapa pole zaidi mkuu.Na tulioanza na mvi na kipara kwa wakati mmoja?
RooneyWhether ni kipara au kipala, salamu kwa wale hasa ambao wako chini ya miaka 30 lakni nywele za kichogoni na mbele zineisha au kudhoofika.
Tuko pamoja katika hili,, usipoteze muda huwezi kutibu, kikubwa jikubari, nyoa mara kwa mara kisha tafuta HELA na HEKIMA ( ELIMU).
kipara bila pesa ni kovuhivi vipara kabla ya mda mara nyingi wanasema ni viparaa njaaa
tiba ambayo ni ya kudumu ni hair implants...ndio amabayo haili nguvu hizodawa ipo ila inakula na nguvu za kiume, yaani kimekaa pabaya kama UKIMWI na ngono.
tiba ambayo ni ya kudumu ni hair implants...ndio amabayo haili nguvu hizo
Wapendwa hii SMS ni kwa wapinga Kristo pekee lkn sina ubaya wowote wa kuwacheka walio na vipara 7bu naamini hawakupenda wazaliwe navyo na Mungu pekee ndiye Muumbaji wa viumbe vyote.Afu punguwani wengine wanahangaika kupinga kuwa "hakuna Mungu" ss kwanini Mtu ushindwe kujiumbua kichwa kisicho na kipara kama kweli una uwezo zaidi ya Mungu...[emoji848][emoji3][emoji1787]
thats the only cure for that and ist the only safe by which they implant your own hair from your own head,,,its like heart or kidney implants ,,and does it create toxins? maybe u can explainAny artificial/chermicalized cure/medicenes must contain negative impacts within Human body by creating toxins, differently apart from that the better one is a assumed by herbalist medicenes hence they match Human being hormones naturally.
Mm nilishajikubali zanani. Yaani kiukweli usiponyoa mtu akikuangalia kutokea kwa nyuma utafikit kibabu!!!
thats the only cure for that and ist the only safe by which they implant your own hair from your own head,,,its like heart or kidney implants ,,and does it create toxins? maybe u can explain
Poleni wenye upara, tupeni pole tulioanza mvi udogoni.
first balding its not the indicator for being matured, in second if somebody asks for a cure of having his hair back thats only solution to do and its not a scam its real takes up to 6 months to regrow the hair back...and dont relate god to something which dont have nothing to do with himHow are you implanting the created hair after being matured person?
For my take I can absolutely believe that is not best cure rather than attracting concerned people to generate business, you must create your own cure before God's creation and differently apart from that it can usually be taken as modifying system to the earliest created person.