Ramadhani Dugange
Member
- Oct 18, 2022
- 12
- 5
Inabidi ulipie pesa ya uanachama la sivyo message zako zitakuwa hazionekani kwenye majukwaa๐คฃ๐คฃ.
Asisahau kulipia na tozo na Mimi ndio mpokeaji ,utampatia namba ya malipoNa mm ndo ninaekusanyaga pesa hio... Uje PM nkupe namba ya Malipo.
Futaa mwayaa huku sio Facebook
Nimependa shati lako...classy๐
Mwambie ukweli jamani๐๐๐Nimependa shati lako...classy๐
๐๐Mwambie ukweli jamani๐๐๐
Watu wa Makete hao.Mwambie ukweli jamani๐๐๐
Brooo umejilipua ati.....fb tupu.
Karibu sana JF Ramadhani DugangeHabari, mimi naitwa Ramadhan, ni mgeni, hivyo naomba ushirikiano wenu kama wanachama wa JamiiForums.
Ha haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......la sikukuu. Watu bana.Nimependa shati lako...classy๐
Unawaonea ndugu zangu๐๐๐Watu wa Makete hao.
Umependeza