Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
😃😃🙌Ha haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......la sikukuu. Watu bana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😃😃🙌Ha haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa......la sikukuu. Watu bana.
Ushamwaga sumu tayari!😊😊Inabidi ulipie pesa ya uanachama la sivyo message zako zitakuwa hazionekani kwenye majukwaa🤣🤣.
Huyu bila shaka atakuwa ni Msukuma. Na shati lake sasa! Samahani sana watani zangu msinipopoe kwa mawe!Futaa mwayaa huku sio Facebook
Hili kabila mlipumzishe jamani😂😂Huyu bila shaka atakuwa ni Msukuma. Na shati lake sasa! Samahani sana watani zangu msinipopoe kwa mawe!
Jamaa kweli upo serious na utambulisho. Umesahau kuambatanisha na nakala ya serikali za mitaa.
Naomba unielekeze kufuta mpe ndw bdo cjafahamFutaa mwayaa huku sio Facebook
Kiukwel mm Ni mgeni naomba unielekeze namna ya kufuta Mana nimejarib lakn nkmeshindw lakin kama kuna mengine nakosea naomb unieleweshe piabloo futa picha
Mfano mwenye magroup ganUmependeza
Je una Elimu hipi Mkuu
Maana hapa Kama huko na Elimu chini ya degree hautoruhusiwa kuachangia Mada katika baadhi ya ma-group
wana kuchoratu achana nao washamba hao usiwajibu. kwasasa wee soma madatu na kuchangia Kama unaweza mengine utaelewa taratibu.Mfano mwenye magroup gan
Sawa shukranwana kuchoratu achana nao washamba hao usiwajibu. kwasasa wee soma madatu na kuchangia Kama unaweza mengine utaelewa taratibu.
KaribuHabari, mimi naitwa Ramadhan, ni mgeni, hivyo naomba ushirikiano wenu kama wanachama wa JamiiForums.