Elections 2010 Salamu kwako Mjomba -Tanesco

Elections 2010 Salamu kwako Mjomba -Tanesco

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2008
Posts
3,173
Reaction score
482
dakika chache kabla ya JK kumaliza kuutubia Moshi uwanja wa mashujaa, Tanesco wamekata umeme. Je ni salamu kwa mjomba?
 
TANESCO wangekuwa na efficiency ya kuweza kupanga umeme unakatika wapi, na saa ngapi, ningeweza kusema kuna conspiracy imepangwa hapa.

Lakini hata uwezo huo hawana, hivyo inawezekana kabisa hili lilikuja bila kutarajiwa.

Wahindi wanakwambia "Karma" hiyo, unavuna ulichopanda. Huwezi kupanda ahadi tupu na kuvuna umeme wa uhakika.
 
Back
Top Bottom