Mtambachuo
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 1,907
- 3,560
- Thread starter
- #201
Sawa mkuu japo siamini.Ndo maana nakwambia wewe akili huna, mara zote Musk anakaa upande wa washindi au walio wengi.
Musk anajinasibu kama African kama Mu-Israel wa hiali, rafiki wa Trump lakin pia Mkristo.
Hizo zote ni pande zenye nguvu kibiashara so anacholenga yeye ni Market sio Pepo
Mcha Mungu ukishampata tu katika maswala ya imani basi umempata pote.